Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
tumalizane na 'mwizi' wangu, aliyeniibia with intent to do so.........ndicho nilichomaanisha kwa kumalizana, then huyo baba watoto sasa tutalonga nayeye, kikieleweka haya kisipoeleweka verdict itatoka either case.
ha ha ha mamushka naona move yake itakua kama ivi....
Mkazi mmoja wa kitongoji cha Madimka Maditeza wilayani Mkuranga mkoani Pwani Mariamu Ramadhani ameuawa kwa kuchomwa kisu kwenye titi la kushoto baada ya kufumaniwa nyumbani kwake akifanya mapenzi na mume wa mtu. Akisimulia mkasa huo, Kamanda Mwakyoma amesema Aisha alipata tetesi za kuibiwa mumewe ndipo alipoanza kufuatili nyendo za mumewe na kupata habari kuwa yuko nyumbani kwa Mariam.
Amesema Aisha aliwafuma mumewe Mohamed Ningwe na mwanamke huyo wakifanya mapenzi na ndipo zilizuka purukushani zilizosababisha mauaji hayo.