Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

... Hakujua kuna askari mmoja wa kiume ni INFIDELATOR by proffession..... RULE No 3. Infidelators must assist each other... Nadhani mnajua kilitokea nini au nimalizie kabisa?
Rule no 4... Usikubali kosa.......!! Never!
 


Mbona story ni kama copy and paste yangu?????????????Mwenzio nilikuta missed calls 27!!
 
Mbona story ni kama copy and paste yangu?????????????Mwenzio nilikuta missed calls 27!!


eeeeeeeeeeeeeeeeeeeh Maralia inanipanda kweli wanaume mnafanana na ndo maana story zenu zinafanana :sick:
 
Kwa mwendo huu.......
INFIDELATORS na INFIDELEES kumbe mpo wengi eh?
 
Ama kweli wanaume ahahaha! nimeshangaa sana jamani
 
eeeeeeeeeeeeeeeeeeeh Maralia inanipanda kweli wanaume mnafanana na ndo maana story zenu zinafanana :sick:


halafu wao wanaona kawaidaa... mie nimcal mtu 27 times kawa mamangu mzazi...khaaa 3 znamtosha ikiambatana na kuzima cm kabisa....afie huko huko.
 
Hi sredi inavunja mbavu zangu dah,
Hahahahahahaha infidelity noma:smash:
njoo na yako moja mkuu sandesh...

kuna ile moja ya gongolamboto kwa mama s....

hehehehehe
ile nayo ni sredi ake kabisa
 
yaani mi mwenzenu nilijua INFIDELATORS ni wachache...

kumbe ni JF CREW NZIMA?....

INVISIBLE MBONA HUJAJA NA YAKO MOJA ile ya safari resort kimara?:A S tongue::A S tongue:
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Kuna jamaa alisahau kuoga kumbe siku hiyo alipitia kule kule kwa maji taka kufika home kwa wife wake ananukia maji taka dah ilikuwa balaaa tuliitwa mpaka majirani kusolve kibaya zaidi K-Y ilikuwa kwenye mfuko wa shirt jamaa aibu.
hehehehe!huyo atakuwa mkuu bonge huyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…