Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Jaribu kumuonyeshea kama atakuwa anaendelea kuchoka. acha visingizio onyesha juhudi zako pia

Namuonyeshea wapi ilhali yeye ananitangulia kwenda kulala na nifikapo kwa bed anakoroma? Namwonyeshea lini endapo weekend anakuja na kisingizio kuwa amechoka na kazi za usafi na J'pili watoto wapo nyumbani?😡😡😡
 
Hawa wanaume wanadai kua hawaoni infidelees wakati infedelee wanaokutana nao ni Baa med na vichangu ambao hawajui hawajawahi kushika hata mouse( hawajui internet ni nini)
Hope umeongea nakugongea ile kitu
 
wewe huchokagi? mbona visababu vyenu haviana kichwa wala miguu?
Hebu msome huyu mzalendo mwenzangu hapa chini tafadhali

Namuonyeshea wapi ilhali yeye ananitangulia kwenda kulala na nifikapo kwa bed anakoroma? Namwonyeshea lini endapo weekend anakuja na kisingizio kuwa amechoka na kazi za usafi na J'pili watoto wapo nyumbani?😡😡😡
 
What do you suggest iwe way forward?? Chukulia mfano wako wewe mwenyewe kama inawezekana

Mi ni 'retired infidelitor'...japo ya kesho siyajui....
 
Hawa wanaume wanadai kua hawaoni infidelees wakati infedelee wanaokutana nao ni Baa med na vichangu ambao hawajui hawajawahi kushika hata mouse( hawajui internet ni nini)
Unataka kusema wanaojua kushika mouse sio infidelitees?? Au...:A S tongue:
 
Hii inamaanisha nini kwenye hii sredi walimwengu?





The Following 15 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Asprin (12th July 2010), Baba_Enock (12th July 2010), Bigirita (Yesterday), De Novo (Yesterday), Dreamliner (12th July 2010), Fidel80 (12th July 2010), Ikunda (Yesterday), KakaJambazi (Yesterday), Katavi (Today), Kimey (Today), Kiranja Mkuu (Yesterday), Lubaluka (12th July 2010), Masikini_Jeuri (Yesterday), Mbu (12th July 2010), Roya Roy (12th July 2010)​

Infidelitees wamegoma kumshukuru Teamo
 
Unataka kusema wanaojua kushika mouse sio infidelitees?? Au...:A S tongue:
Kinda ask the same!! Hebu aende pale UDSM, IFM, CBE au aende TANESCO, BIMA, BANDARI,NMB, NBC, VODACOM etc etc aone washika mouse wenye jinsia ya kike wanavyoinfidelitaiz!!!
 
Asprin, kua makini....umenifananisha na vile vichangu eee....
Nyie wanaume kinyaa tupu...
Vipi tena Tumaini? Mbona umecheza ngoma si yako? Mwache Salha wangu anjibu mwenyewe bana lol!
 
Back
Top Bottom