Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Kwa kukusaidia, angalau kupanua akili yako.

Sijui kama uliwahi kwenda shule ya juu, ungesoma somo la mantiki/logic.

Kwenye mantiki ama logic and reasoning jambo lile lile leo useme yes, kesho useme noo basi jibu ni no.

Hata kwenye hesabu, tulisoma true, true jibu ni true, true false jibu ni false.

Ikishatokea contradiction basi hapo hakuna ukweli, ni uongo. Kitu kilichonyooka hakina contradiction.

Ndio maana nikakushauri, rudi shule uongeze ufahamu zaidi ndio uje kujadili haya mambo boss.

Ndio maana nikakuambia Wewe bado mchanga.

Ukiwa Darasa la Kwanza ulifundishwa 1-2 jibu ni haiwezekani.
Lakini sasa hivi 1-2 jibu sio haiwezekani Bali ni -1.
Kitu kikikupa mkanganyiko maana yake sio kwamba ni uongo Bali ni Akili yako ni ndogo kukielewa Kwa urahisi.

Kwenye Logic kama ulivyoeleza
True+ True = True
True+ False = False
False + True = False
False + False = False

Sasa yote uliyoyaeleza hakuna uongo wowote hapo.
Ungeomba utatuliwe hiyo kilichokupa mkanganyiko
 
Ndio maana nikakuambia Wewe bado mchanga.

Ukiwa Darasa la Kwanza ulifundishwa 1-2 jibu ni haiwezekani.
Lakini sasa hivi 1-2 jibu sio haiwezekani Bali ni -1.
Kitu kikikupa mkanganyiko maana yake sio kwamba ni uongo Bali ni Akili yako ni ndogo kukielewa Kwa urahisi.

Kwenye Logic kama ulivyoeleza
True+ True = True
True+ False = False
False + True = False
False + False = False

Sasa yote uliyoyaeleza hakuna uongo wowote hapo.
Ungeomba utatuliwe hiyo kilichokupa mkanganyiko
Jibu bora kabisa
 
Mtoa post umeandika kitu cha maana sana tatizo ni kwamba,watu wanaongozwa na mapenzi au hisia (love and emotion) badala ya logic
Mimi ni Mkristo ninayeamini kuwa yupo Mungu ambaye ndiye Alpha na Omega (the existence of the Supreme Being) lakini,ukitumia logic unaona kuna kitu hakiko sawa

NB😀ini haihitaji logic bali inahitaji kuamini (imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo) ukitumia logic au akili kwenye dini lazima wewe na dini mtofautiane!
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.
Umesahau kwamba njia zake hazichunguzuki au He works in mysterious ways???
 
Nafuatilia hoja kati ya mtoa post na Taikoon wa fasihi ili nijifuanze nimekaa pale.
 
MMkuu
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.
Mkuu wewe una unaabudu nini?
 
Huwezi nipangia jinsi ya kuishi dini umezaliwa umezikuta na utakufa utaziacha hiko kitabu biblia kinamiaka almost 7000 na bado wako wanaokiamin

Kama huamin biblia live your life huwez fanya watu wasiamin biblia kwa hoja zako dhaifu na za kiinga
Dunia ina miaka elfu mbili bible miaka elfu saba acha uongo mjomba
 
Mtoa post umeandika kitu cha maana sana tatizo ni kwamba,watu wanaongozwa na mapenzi au hisia (love and emotion) badala ya logic
Mimi ni Mkristo ninayeamini kuwa yupo Mungu ambaye ndiye Alpha na Omega (the existence of the Supreme Being) lakini,ukitumia logic unaona kuna kitu hakiko sawa

NB😀ini haihitaji logic bali inahitaji kuamini (imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo) ukitumia logic au akili kwenye dini lazima wewe na dini mtofautiane!
NB yako Iko sahihi mno! Mungu yupo.
 
Huwezi nipangia jinsi ya kuishi dini umezaliwa umezikuta na utakufa utaziacha hiko kitabu biblia kinamiaka almost 7000 na bado wako wanaokiamin

Kama huamin biblia live your life huwez fanya watu wasiamin biblia kwa hoja zako dhaifu na za kiinga
Hoja hujibiwa kwa hoja! Ukianza kupandisha, inamaana rahisi, "umeshindwa kujitetea". Kinachotuumiza sana kwenye dini ni kutoruhusu maswali. Lakini maswali ndiyo humjenga mtu na ndipo anaweza confidently kuamua upande upi auamini.
Kwa hiyo huyu jamaa akipata mtu wa kumjibu vizuri, huwenda akaachana kabisa na wazo la kwamba "Mungu hajui kila kitu"
 
Hoja hujibiwa kwa hoja! Ukianza kupandisha, inamaana rahisi, "umeshindwa kujitetea". Kinachotuumiza sana kwenye dini ni kutoruhusu maswali. Lakini maswali ndiyo humjenga mtu na ndipo anaweza confidently kuamua upande upi auamini.
Kwa hiyo huyu jamaa akipata mtu wa kumjibu vizuri, huwenda akaachana kabisa na wazo la kwamba "Mungu hajui kila kitu"
Yeye ameshaamin dini ni uongo ni mueleweshe ya nini kwa sisi wakristo suala la kumfuata Mungu halijawahi kuwa la lazima
 
Adam alivyoumbwa alikuwa kama mtoto tu asiyejua kitu. Ndo maana Mungu akamwambia "usitende hivi maana siku ukitenda utajua mema na mabaya". Ni kama kumwelekeza mtoto mdogo kuwa usichezee kisu/wembe maana kitakukata na utaumia" ila kisu hicho kipo kwa malengo ambayo wewe tu ndo unayejua ila mtoto hajui. Na kwa adam alipewa akili yenye ukomo wa kufikiri/uelewa. Hali Mungu akijua wanadamu watataka kudadisi zaidi matendo na maamuzi yake ila kulingana na akili yao ya kibinadamu hawatelewa ndipo akasema yeye (Mungu hachunguziki na wanadam)
Basi ndugu zangu kwakuwa twajua kuwa Mungu yupo, basi tuenende sawasawa na maelekezo yake, mengine ajua mwenyewe.
 
swali 1. kwa nini tulizaliwa wengne weupe wengine weusi wakati kwenye biblia imeandikwa Mungu alimuumba adam badae akamletea msaidizi kutoka kwenye ubavu wake???.

swali 2. hakuna aliyewahi kumuona Mungu sasa kwann biblia inasema Adam aliumbwa kwa mfano wake.

swali 3.hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia ,nani alikuwa shahidi au nani aliyeona
 
Adam alivyoumbwa alikuwa kama mtoto tu asiyejua kitu. Ndo maana Mungu akamwambia "usitende hivi maana siku ukitenda utajua mema na mabaya". Ni kama kumwelekeza mtoto mdogo kuwa usichezee kisu/wembe maana kitakukata na utaumia" ila kisu hicho kipo kwa malengo ambayo wewe tu ndo unayejua ila mtoto hajui. Na kwa adam alipewa akili yenye ukomo wa kufikiri/uelewa. Hali Mungu akijua wanadamu watataka kudadisi zaidi matendo na maamuzi yake ila kulingana na akili yao ya kibinadamu hawatelewa ndipo akasema yeye (Mungu hachunguziki na wanadam)
Basi ndugu zangu kwakuwa twajua kuwa Mungu yupo, basi tuenende sawasawa na maelekezo yake, mengine ajua mwenyewe.
nani alikuja na huo uthibitisho ikiwa huyo huyo adam ndo mtu wa kwanza kuumbwa(au kulikuw na mtu pemben aliyeona adam akiambiwa asitende mabaya)
 
Ndio maana nikakuambia Wewe bado mchanga.

Ukiwa Darasa la Kwanza ulifundishwa 1-2 jibu ni haiwezekani.
Lakini sasa hivi 1-2 jibu sio haiwezekani Bali ni -1.
Kitu kikikupa mkanganyiko maana yake sio kwamba ni uongo Bali ni Akili yako ni ndogo kukielewa Kwa urahisi.

Kwenye Logic kama ulivyoeleza
True+ True = True
True+ False = False
False + True = False
False + False = False

Sasa yote uliyoyaeleza hakuna uongo wowote hapo.
Ungeomba utatuliwe hiyo kilichokupa mkanganyiko
Okay. Wacha nikubali unachokisema kwamba uko sahihi biblia haina matatizo ila matatizo ninayo mimi na akili yangu mbovu. Nimekubali lakini naomba unisaidie kuelewa hili swali.

1. Je Mungu alijua kama shetani atakuja kuasi ama hakujua?

2. Mungu anasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu dhaifu kinachotoka kwake, je shetani ni kitu dhaifu ama kikamilifu?

Ahsante.
 
Back
Top Bottom