Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Wewe ndiyo unahitaji msaada kama huwezi kuunganisha hiyo bible verse na Utume wa MUHAMMAD ukomaa tu mitume waliomtangulia hawamhusu!!! DIVINE GUIDANCE ZOTE ZIMELETWA KUWAONGOZA WATU SIYO HISTORIA NA MATUKIO YA WATU MAALUM KAMA AKILI YAKO INAVYOWAZA...

Mungu kuwakumbusha ummah husika yale aliyowateremshia wa nyuma yao, mapokeo yao na yale yaliyowafika ili wahusika wapate kujifunza!!!!

MUHAMMAD hakuwa na sababu ya kuandika historia za Wayahudi au kujifunza ILA MOLA MLEZI ALIYEMTUMA KWA WAARABU NA SISI SOTE kupitia kwa MUHAMMAD anatujuza aliyowashushia wa nyuma yetu na yale yaliyoeafika kutokana na namna walivyopokea ujumbe wa MOLA MLEZI ili tujifunze....

Kuna manabii wengine wametajwa ambao kwenye BIBLE HAWAPO mfano DHALKIFUL, au WAJA WEMA kama LUQMAN, KHIDHIR sina hakika kama utakuta story kwenye bible..
 
Kwa hoja yako namba 4 unathibitisha Kuwa MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE ni Mtume wa Mwisho na kile kilichoshushwa kwake ni HAQQ.

Huyu Padri alijua kwa sababu aliyeshusha Zaburi, Torati, Injili na Qur'an ni Moja ambaye ndiye MOLA WA WALIMWENGU WOTE!!!

Mitume wote kazi yao ILIKUWA MOJA TU NAYO ni WANADAMU WAMJUE NA KUMWABUDU MUNGU MOJA NA KUMWAMINI NA KUMFUATA MTUME ALIYETUMWA KWA WAKATI HUSIKA!!!

Kwa hiyo Kutajwa mitume na manabi kuanzia Adam hadi MUHAMMAD siyo copy and paste ILA ALIYEWATUMA NI MOJA na kila mara alituma mwingine baada ya wanadamu kuasi na kufanya alterations kwenye UJUMBE WA AWALI....

Ndiyo maana nguzo ya kwanza kwa MTU KUWA MUISLAM NI SHAHADA " YAANI KUAMINI MOYONI NA KUKIRI KWA ULIMI KUWA HAKUNA MUNGU MWENYE HAKI YA KUABUDIWA ILA MUNGU MOJA AMBAYE HANA MSHIRIKA KATIKA UUNGU WAKE NA MUHAMMAD ndiye mtume wake aliyemtuma kwa walimwengu wote"

The same Jesus propagated "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma" Yohana 17:3

Kwa hiyo hata Mwamposa naye tumuite Mtume? 😂😂

Hivi hata mambo anayewafundisha ni Nani?

Muhammad stories zake haziwezi kutumika kama rejea Kwa vile ni Stori za hearsay tuu.

Ni Kama Mimi na Wewe hapa,
Hawajui waisrael Ila anasimulia habari zao.

Hajawahi kufika Israel lakini anajifanya Kama anahabari zake.
Wewe uliona wapi mambo Kama hayo?

Naomba niishie hapa, nilikuwa najaribu kuku-challenge kidogo ili uitie akili yako vizuri.
Huwezi pews Stori na mtu ambaye mwenyewe kasikia.
Yaani mtu akusimulie habari za Wamarekani alafu hajawahi kufika marekani na hajawahi kuwaona wahusika wakuu.
Mtume Muhammad anachoweza Kueleza kikaeleweka ni Stori ya maisha yake na wakati anaishi jinsi alivyoupigania uislam aliouanzisha Ila mambo ya kina Musa, Daudi, Suleiman hayo atafute wakuwadanganya
M
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran(huku ndio madudu yalikojaa). Mkitaka na vifungu nitaweka.
Andiko lako lote ni takataka kwa sababu tu hujaweka vidhibitisho. Ni kitabu gani, sura ipi na aya gani vinaelezea hizo hoja zako. Ungeweka tungeweza kukoment kukosekana kwa hivyo kunakufanya wewe uwe mtu wa majungu.
 
Kwa hiyo hata Mwamposa naye tumuite Mtume? 😂😂

Hivi hata mambo anayewafundisha ni Nani?

Muhammad stories zake haziwezi kutumika kama rejea Kwa vile ni Stori za hearsay tuu.

Ni Kama Mimi na Wewe hapa,
Hawajui waisrael Ila anasimulia habari zao.

Hajawahi kufika Israel lakini anajifanya Kama anahabari zake.
Wewe uliona wapi mambo Kama hayo?

Naomba niishie hapa, nilikuwa najaribu kuku-challenge kidogo ili uitie akili yako vizuri.
Huwezi pews Stori na mtu ambaye mwenyewe kasikia.
Yaani mtu akusimulie habari za Wamarekani alafu hajawahi kufika marekani na hajawahi kuwaona wahusika wakuu.
Mtume Muhammad anachoweza Kueleza kikaeleweka ni Stori ya maisha yake na wakati anaishi jinsi alivyoupigania uislam aliouanzisha Ila mambo ya kina Musa, Daudi, Suleiman hayo atafute wakuwadanganya
M

MUHAMMAD SIYO MSIMULIAJI USICHANGANYE MADESA....

Mwenye kusimulia anajipambanua hapa....


"We relate to you, [O Muhammad], the best of stories in what We have revealed to you of this Qur'an although you were, before it, among the unaware" 12:3
 
MUHAMMAD SIYO MSIMULIAJI USICHANGANYE MADESA....

Mwenye kusimulia anajipambanua hapa....


"We relate to you, [O Muhammad], the best of stories in what We have revealed to you of this Qur'an although you were, before it, among the unaware" 12:3
Msimuliaji ni MOLA MLEZI BCA BWANA WA VIUMBE VYOTE....
 
😲😲😲😲😲😲😲😲😲 hawking umemsoma lakini? 🤷‍♂️ anyway soma kwenye kitabu chake "A brief history of time chapter 11 na 12" .
Mbona kitabu cha miaka ya tisini wakati kuna vitabu vyake ambavyo ni latest, na vitabu vingine vipya vya cosmology
 
MUHAMMAD SIYO MSIMULIAJI USICHANGANYE MADESA....

Mwenye kusimulia anajipambanua hapa....


"We relate to you, [O Muhammad], the best of stories in what We have revealed to you of this Qur'an although you were, before it, among the unaware" 12:3

😀😀😀
Kuna haja gani huyo Allah kusimulia habari ambazo Muhammad wakati wake zilikuwepo?
Yaani Yesu alivyokuja alafu aanze kusimulia habari za kina Nuhu sijui Musa ilhali Wayahudi wanazijua.
Embu funguo ubongo wako
 
😀😀😀
Kuna haja gani huyo Allah kusimulia habari ambazo Muhammad wakati wake zilikuwepo?
Yaani Yesu alivyokuja alafu aanze kusimulia habari za kina Nuhu sijui Musa ilhali Wayahudi wanazijua.
Embu funguo ubongo wako
Kulikuwa na haja gani ya Yesu kuja ma INJILI wakati TORATI ILIKUWEPO?
 
😀😀😀
Kuna haja gani huyo Allah kusimulia habari ambazo Muhammad wakati wake zilikuwepo?
Yaani Yesu alivyokuja alafu aanze kusimulia habari za kina Nuhu sijui Musa ilhali Wayahudi wanazijua.
Embu funguo ubongo wako
Kuna vitu vingine unauliza havina mashiko kabisa....

Mola Mlezi alileta mitume kila baada ya muda kutokana ujumbe wa Mtume aliyetangulia kuharibiwa na wanadamu kukengeuka!!!!

Mungu kutusimulia ya nyuma na kutoonesha ulivyokuwa mwisho wa WEMA na waovu wao ni ILI KUJIFUNZE!!!!

Hata INJILI nayo ni hivyo hivyo!!!!

Ndiyo maana nimekupa CHALLENGE tafuta MSAHAFU WA TAFASIRI YA KISWAHILI AU KINGEREZA SOMA KADRI UTAKAVYOWEZA HALAFU UJE TUJADILI...

Nimekupa mfano mdogo wa matukio ambayo yanaleta shida kwenye BIBLE mfano mitume wa Mungu kusingiziwa UASI kuanzia Ibrahim, Nuhu, Luti, Daud, Mussa mbona umeshindwa KUREFUTE HAPA!!!!

wengine wanasingiziwa UZINZI, wengine Alcoholism na WENGINE INCEST SEX....

Hii HOJA unaisemaje ikiwa MTUME WA MUNGU ANAFIKIA KIWANGO HIKI????
 
Hivi unapojadili unatumia Akili kweli?
Nimekuambia kama Biblia na Quran vingepelekwa mahakamani kuthibitisha yaliyozungumziwa humo, Quran ingeshindwa Kwa sababu 90% ya yaliyomo ni hearsay/third-party stories.

Ninaanzisha Uzi wake hap alafu wanasheria wabobezi najua wataniunga Mkono
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu nina quote 😂😂😂👇🏽👇🏽👇🏽

"Mahakamani hatuwezi kuichukua Quran kama ushahidi kwani ni Stori ya third-party (hearsay).
Wakati Biblia Kwa sehemu kubwa ni ushahidi wa wazi"

swali langu bado lipo pale pale NI MAHAKAMA GANI INATUMIA BIBLIA KAMA USHAUIDI? niwekee mbili tu
 
Kwani Nimesema Wayahudi ni Wakristo au wanaulazima wakuwa Wakristo?
Wayahudi dini Yao ni uyahudi hiyo IPO hivyo tangu kale.
Hata Yesu na mitume wote dini Yao ni uyahudi. Sasa ajabu gani waisrael kuwa Wayahudi?
Why waisraeli kwa asilimia kubwa ni wayahudi na si wakristo na wakati ukristo ulianzia huko?

Inshort pale israel dini zipo hvi
1).judaism=81%
2).islam=14%
3).christianity=2%
4).Druze=2%
5).other region=1%

Focus kwenye hili why only 2% are christians na 81% jews? Na wakati christ alitokea kwa hao jews?? Je? Wewe ndo unamjua vizuri christ kuliko wao ambao alipokuwa mdogo kuna waliocheza naye? Na ndiyo maana kuna RABBI mmoja aliwahi kusema "kama biblia ingekuwa muongozo sahihi basi waisraeli wote wangekuwa christians".
 
Swali lako lilikuwa hili i guess? "string theory umeisomea kwenye kitabu kipi cha stephen hawking"
Yah!!! Lakin sikuwa najua chochote kuhusu string theory.
Actually nimesoma simple answer for big question skuwa nimeona hicho kitu kwa maana hyo hata yeye yawezekana kashafanyia updation hiyo nadharia yake
 
Why waisraeli kwa asilimia kubwa ni wayahudi na si wakristo na wakati ukristo ulianzia huko?

Inshort pale israel dini zipo hvi
1).judaism=81%
2).islam=14%
3).christianity=2%
4).Druze=2%
5).other region=1%

Focus kwenye hili why only 2% are christians na 81% jews? Na wakati christ alitokea kwa hao jews?? Je? Wewe ndo unamjua vizuri christ kuliko wao ambao alipokuwa mdogo kuna waliocheza naye? Na ndiyo maana kuna RABBI mmoja aliwahi kusema "kama biblia ingekuwa muongozo sahihi basi waisraeli wote wangekuwa christians".
Hivi vitu ni very comolicated btn wayahudi ndio walio msurubisha yesu so hawakumtambua toka mwanzo.
 
M
Kuna vitu vingine unauliza havina mashiko kabisa....

Mola Mlezi alileta mitume kila baada ya muda kutokana ujumbe wa Mtume aliyetangulia kuharibiwa na wanadamu kukengeuka!!!!

Mungu kutusimulia ya nyuma na kutoonesha ulivyokuwa mwisho wa WEMA na waovu wao ni ILI KUJIFUNZE!!!!

Hata INJILI nayo ni hivyo hivyo!!!!

Ndiyo maana nimekupa CHALLENGE tafuta MSAHAFU WA TAFASIRI YA KISWAHILI AU KINGEREZA SOMA KADRI UTAKAVYOWEZA HALAFU UJE TUJADILI...

Nimekupa mfano mdogo wa matukio ambayo yanaleta shida kwenye BIBLE mfano mitume wa Mungu kusingiziwa UASI kuanzia Ibrahim, Nuhu, Luti, Daud, Mussa mbona umeshindwa KUREFUTE HAPA!!!!

wengine wanasingiziwa UZINZI, wengine Alcoholism na WENGINE INCEST SEX....

Hii HOJA unaisemaje ikiwa MTUME WA MUNGU ANAFIKIA KIWANGO HIKI????
Mkuu mwenyezi mungu mola mlezi wetu alisema hivi kwenye quran 22:46

"{ أَفَلَمۡ يَسِيرُواْ فِي ٱلۡأَرۡضِ فَتَكُونَ لَهُمۡ قُلُوبٞ يَعۡقِلُونَ بِهَآ أَوۡ ءَاذَانٞ يَسۡمَعُونَ بِهَاۖ فَإِنَّهَا لَا تَعۡمَى ٱلۡأَبۡصَٰرُ وَلَٰكِن تَعۡمَى ٱلۡقُلُوبُ ٱلَّتِي فِي ٱلصُّدُورِ }
[Surah Al-Hajj: 46]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Je! Hawatembei katika ardhi ili wapate kuwa na nyoyo zao za kuzingatia, au masikio ya kusikilia? Kwani hakika si macho yanayo pofuka, lakini zinazo pofuka ni nyoyo ziliomo vifuani.

Allah (the exalted one) alishajua watu kama hawa wapo na watakuwepo mtu anataka kuona lakini anaziba macho USIJIUCHOSHE NAO SANA
 
MUHAMMAD SIYO MSIMULIAJI USICHANGANYE MADESA....

Mwenye kusimulia anajipambanua hapa....


"We relate to you, [O Muhammad], the best of stories in what We have revealed to you of this Qur'an although you were, before it, among the unaware" 12:3
We, kina nani hao, allahs ama?
 
Back
Top Bottom