Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Hatari sana mkuu, ukiwa na Id mbili au zaidi unatakiwa kuwa makini na mstaarabu. Ukichafua hali ya hewa au ukijaribu kucheza na watu mods wanaziunga id chap unabaki unafurahi na roho yako.


😃😃😃😃😃
 
Daah siku ya leo nilikua sijacheka kabisa. Baada ya kusoma comment yako hakika nimeongeza siku za kuishi😂😂😂
 
Jf kuna mengi
 
Mkuu amu Mimi sikuwa mpigaji wakuu, nilikuwa katika msoto na mpaka leo bado nasota japo nimeacha inshu za kuanzisha thread! Nasota kimya kimya.
Kipindi kile nilifanikiwa kupata kazi ya kuhudumia mifugo huko Bagamoyo, cc Kurunzi ni shahidi.
Bro, ww si blogger au?
 
kuna kademu humu nilikuw nakafukuzia kila kakicoment naruka nako sasa nikawa nakapanga mistari kiaina,kakianzisha thread nakuwa wa kwanza kucoment,kuna fala sijui aliusoma mchezo akaja kuscreenshot thread yangu ya 2013 niliyokuwa najigamba eti nakula sana totoz then nazipiga chini. thread ya 2013 anaileta 2019 .tangia kipind hicho yule manz akaanza kunikwepa.

nilikuja kubadili ID baada ya kupoteza simu na kukaa mda mrefu bila kuingia online.


kuna watu humu wameshapitia id zote,ukizingua kidogo wanakumwagia mzigo wote alaf hawaongei washenz hawa.
 
Kwa kweli uzi siwezi kuhusahau kuna mwamba alikuja huku akajifanya yeye ni mwanamke single mother mtoto wake kaungua moto anaomba msaada amtibishe mwanaye

Kumbe Ni dume lipepiga mtoto wa watu picha akaleta huku alikusanya pesa zetu huku siyo kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…