Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Dahhh....
Kuna jamaa aliwahi kuja na Uzi akiomba ushauri kule jf Doctor.
Ile jamaa iliuweka kabisa mjegejo, ulikuwa unavipele kwamba ndio vinamsumbua pale kwenye kichwa kinapo zama bila mabega.
Aiseee yule jamaa alikuwa ana roho ngumu sana, sasa kuna mdada akakomenti akawa anausifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji23][emoji23] yaani skuhiyo nilicheka sana.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumtaja Ontario kwa uzi ule kumbe nilikosea?
Kaka Tuchati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…