King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Kuna uzi fulan hv ushawahi comment kuhusu "highly paying keywords" kwa kutumia ID yako ya like nikuaddMimi siyo blogger.
Kwanini umeuliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uzi fulan hv ushawahi comment kuhusu "highly paying keywords" kwa kutumia ID yako ya like nikuaddMimi siyo blogger.
Kwanini umeuliza?
Kumbe wewe ni mtu wa ajabu,Kuna uzi fulan hv ushawahi comment kuhusu "highly paying keywords" kwa kutumia ID yako ya like nikuadd
Bahati mbaya sikubahatika kuzisoma hizo Nyuzi za 'gilesi'Watu wakabaki midomo wazi!
NB: nyuzi zote zilishafutwa.
Search uzi wa bujibuji unasomea shujaa wangu Hilary Kipozeo. Katika huo uzi kuna jamaa ka-qoute pumba alizoandika kwamba ana kalio kubwa.Bahati mbaya sikubahatika kuzisoma hizo Nyuzi za 'gilesi'
Ooky! Tayari nimeona alichokuwa ameandika gilesibujibuji unasomea shujaa wangu Hilary Kipozeo
Sasa hiyo ndio ilikuwa ID ya mzee mwenyewe mods wakaziunganisha.Ooky! Tayari nimeona alichokuwa ameandika gilesi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dahhh....
Kuna jamaa aliwahi kuja na Uzi akiomba ushauri kule jf Doctor.
Ile jamaa iliuweka kabisa mjegejo, ulikuwa unavipele kwamba ndio vinamsumbua pale kwenye kichwa kinapo zama bila mabega.
Aiseee yule jamaa alikuwa ana roho ngumu sana, sasa kuna mdada akakomenti akawa anausifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji23][emoji23] yaani skuhiyo nilicheka sana.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu acha hizo mkuu, kwani hata wewe haujui...😳Kuna nn hapaaa???
Mie hata cjui jaman eti.Ebu acha hizo mkuu, kwani hata wewe haujui...[emoji15]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi labda wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
Kuna jamaa alisifia harus ya maceleb na kusema ni ya mfano wa kuigwa. Mara paap!! Mods wakaunganisha id, jamaa kabambwa akisifia na kuipigia chapuo harusi yake mweyewe
Mkuu umenichekesha sana hili tukio.Kuna jamaa alisifia harus ya maceleb na kusema ni ya mfano wa kuigwa. Mara paap!! Mods wakaunganisha id, jamaa kabambwa akisifia na kuipigia chapuo harusi yake mweyewe
InsaneNdiyo.... Ni kweli..... Makalio yalitingishika Hadi yaka produce umeme kiwango Cha grid ya taifa
Nomaaa