Natoa shuhuda..
Nikiwa nasafiri kwa usafir binafsi nilopendelea Sana kunywa energy drink...mwez November nikawa na safar nikatumia energy..nilipofika kahama nikaanza huhis tofauti..nikasimama pale Mjin kwamba nipumzike...hali ikazidi kuwa sio..nikaenda hospital..kufika pale nikafanya process zote..kabla sijaingia kwa Dr wakaniambia tunaomba upime uzito,urefu,sukar na presha..nikapima..weeeeee...menngine yoote nilikiwa Norma..ila presha ilikuwa 197/136...Dr akaniuliza nikakweleza..nilipifika kusema nimekunywa energy drink..nikaona amevuta pumzi akasema hiyo ndio tatizo..wakasema hatuwez kukuruhusu utoke..tunakulaza..nikalazwa pale nikachoma sindano..ile sindano ilinifanya nikojoe Sana..keshobyake mchana nikatoka..NIKAKOMA KUNYWA ENERGY NA COKE..Dr alidai Zina madhara kwa Figo na moyo...now Niko poa..