Matumizi makubwa ya 'energy drinks' hasa kwa vijana, wanafahamu madhara yake?

Matumizi makubwa ya 'energy drinks' hasa kwa vijana, wanafahamu madhara yake?

Nadhani mleta mada haujawa muwazi zaidi kuelezea madhara ya unywaji wa hizi energy drinks zote achilia mbali hizi M energy and the likes.

Unywaji wa energy drinks uliopitiliza huwa na madhara kiafya kwa kuwa energy drinks zinaongeza nguvu ya msukumo wa damu na baada ya muda kiasi moyo waweza kutanuka au arteries zikatanuka hii hupelekea matatizo ya presha.

Sasa mtu mwenye presha au na kisukari uwezo wa kusimamisha uume huwa tatizo kidogo na unakuta wakati huo umezuiwa kunywa hiyo energy drink ili japo usimamishe uume ukiachilia magonjwa mengine.

Hivyo ukichanganya na pimbe Kali ndio unazidisha matatizo zaidi.

Hata hivyo mnataka kuishi kwani mmekuwa mawe ??
 
Nakutajia moja; inaathiri figo kwa asilimia kubwa sana. Kwa miaka ijayo, kutakuwa na ongezeko kubwa sana la watu wenye matatizo ya figo. Omba sana Mungu haya maradhi yapite kushoto, manake figo zikiharibika, moyo utaharibika, ini litaharibika...hizi vital organs zikiharibika niambie nini kinafata.

NB: mimi sio mtu wa afya!
Acha watu wafurahie maisha,Kama ni hivyo basi watu wasitumie ARV maana ARV ni chanzo kikuu cha kuharibu figo
 
Hiki kinywaji wanapenda Sana waendesha pikipiki kwaajili ya kukesha usiku,hivyo sioni tatizo...ila nishawahi kunywa mara moja ,nikaingia road work aka mazoezi ya kukimbia asee moyo ulidunda kama unataka kutoka kwenye kifua,nikaacha tokea siku hiyo
 
Hawa vijana ni wapumbavu sana mkuu!

Hasa mashabiki wa simba na ki energy chao cha yule mfadhili wao huwaambii kitu.
Nina vibanda vyangu kama 7 hivi nimevitega sehemu tofauti tofauti uswahilini uswahilini sehemu kuna junction na stand za bodaboda..nimewajazia energy drinks zakutosha na spirits za vibobo..highlife,kitoko,boss, diamond, Rivera nk nk..nanunuaga cartoon kumi kumi kila baada ya siku 3..vibanda vyangu ni 24/7..na winston sigara zakutosha..kila baada ya siku 3 napitia vibanda vyangu nakusanya 30000*7=210000..profits..hivyo vidude vina ela sana..ukivipatia angle..ILA MIMI ATA LADHA YAKE SIIJUI..NAJUA TU FAIDA ZAKE KWA ELA
 
Hawa vijana ni wapumbavu sana mkuu!

Hasa mashabiki wa simba na ki energy chao cha yule mfadhili wao huwaambii kitu.
Mkuu umetukosea heshima kabisa sisi mabingwa watetezi na wawakilishi pekee waliosalia kimataifa.
 
elezeni wazi madhara yake, kila mtu ina madhara inamadhara kama tunaimba corus ya ngonjera
 
mpaka tumefika page ya nne sijaona hata mmoja aliandika hayo madhara..
kwanini nisikisie ni ujinga au ushindani wa kibiashara.
Kila kitu kina mdhara hata majani ya chai, soda n.k.
halafu ninyi unaosema ina madhara mpaka sasa mmeiisha miaka mingapi kwa kuepuka hayo madhara?
 
Pombe mbona hamsemi zina madhara au ni tongwa zile?? tena mnachanganya kabisa mnaita cocktail au mnachangua madhara?
 
Back
Top Bottom