Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ila hizi kitu mimi naona wanajaziwa misoda tu humo kwenye hizo chupa, sidhani kama ni energy kweli kama ilivyo redbullHivi kama zina madhara hivyo why wasiache tu kutengeneza, maana ni kweli huku mitaani watu wanatumia sana[emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23]