Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inamaana hufahamu kama soda zina kemikali??Labda kama ni soda tu zisizo na hayo makali, ila kama ni zenyewe na zina madhara basi huku mitaani watu wanazinywa kama maji🤔
Maji, juice halisi, na vimiminika vingine halisi🤣🤣
Na vinywaji vipi havina masharti?
Mkuu , ubongo huwa una achia kemikali zinazosababisha hali ya dopamine....Kuna jamaa yangu kwa siku anakunywa Azam energy sio chini ya 6 na peps zaid ya 5 na sigara hata pakti 2.
Na hataki ushauri juu ya hilo.
Mkuu una roho mbaya kama shetaniIli wapigwe miti.
Caffeine hio iko kazini.Noma sana, halafu zinakuwaga na kaulevi fulani yaani unatamani kilasiku unywe
Kumbe uongo ?.unazingua
Inategemea mnakuwa exposed na vitu gani huko.Vipi kwasisi tunaofanya kazi nzito Migodini kila siku Je matatizo hayo yanaweza kutupata mkuu.
Fanya yakoMaeneo ya vijijini Mkoani Manyara ,vijana wanakunywa hivi vinywaji Hadi inatisha
We ulitaka madhara gani Zaid ya shambulio la moyo?Mbona hukuoanisha madhara yake tuyajue na kujilinda wenyewe wameshakuandikia hairuhusiwi kunywa zaidi ya 2 na kina mam wajawazito hawaruhusiwi pamoja na watoto
changanya spirit na juice au soda.
Mpe muda...aidha ataacha au atadanjiKuna jamaa yangu kwa siku anakunywa Azam energy sio chini ya 6 na peps zaid ya 5 na sigara hata pakti 2.
Na hataki ushauri juu ya hilo.