Mge Jr
Senior Member
- Apr 22, 2020
- 159
- 182
Bongo hatuhitaji ushahidi wa kisayansi kupitisha jambo tunatumia formula ya wengi wape.... Halafu hayo madhara sijayataja mimi nimeapreciate tu kwa huyo aliyeyataja maana tunaweza kuwa wahanga bila kujuaHayo madhara unayataja tu bila ushahid wa kisayansi?