Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

AI ni nzuri kwa anayetaka elimika
Ni mbaya kwa anayetaka faulu maana ataitumia kujibu mitihani na si kuelewa
 
Mimi naona hizi AI software ni kama ilivyo Google na search engine nyingine. Pia bado haina tofauti mfano mtu akamuomba mwingine amfanyie kazi yake na yeye ku- submit. Tofauti ni kwamba ile ni software na huku aliyefanya ni binadamu. Kwa kifupi AI teknolojia haiepukiki maana ndiyo tuliyomo sasa, cha msingi ili kuiangalia originality ya kazi ya mtu ni kwanza kutumia AI detectors ambazo zitabaini ni human au AI generated content. Pili ni kumtaka huyo aliyefanya hiyo kazi kuitetea kazi yake kulingana na hoja ailizowasilisha.
 
Nadharia njama za Mathanzua zimekuteka....acha hofu mkuu
 
Nadharia njama za Mathanzua zimekuteka....acha hofu mkuu
Alichosema ni 100% correct,wala sio conspiracy theory,acheni ujinga.Wenzenu wamewapumbaza ili msiwastukie na kuchukua hatua wawamalize,wake up.Na msipoamka watawamaliza.Wako almost mwishoni kabisa in their depopulation plan,and next year 2024 will be crucial.Wata-create a fake holographic imagery mimicking an Alien invasion while using the confusion ensuing in killing billions of people.

Tumuombe Mungu sana, ili mpango wao huo muovu kabisa kuwahi kushuhudiwa katika historia ya wanadamu usifanikiwe.
 
Elimu za samaki ana matamvua mangapi ? Huwezi kulinganisha na Chat Gpt. Mfumo wetu wa elimu ni wa kiwango cha chini sana. Teknolojia itaamua maisha yetu na siyo siasa. Revolution of science and technology.
 
Watu kama hawa hawataki kujihangaisha kudadisi mambo ya kinabii yalivyo, ni hadi ajikute ndani ya nyavu ndo anakuja kushtuka kuna watu waliwahi kudokeza mahali.

Hiyo vision ya kama viumbe wakishuka duniani kutokea angani niliiona, na hilo tukio kufuatiwa na hali mbaya sana ya machafuko, nakubaliana na wewe tumwombe sana Mungu Mwenyezi aweze kuingilia kati.​
 
Acha hofu wewe..... teknolojia haikwepeki zama hizi
 
The truth is AI is inevitable !! At least one should learn on how to use AI applications in a posive way coupled with having an idea and understanding of what you are doing !!!
 
Tanzania ama afrika kuna msomi wa kuona wengine vilaza.
Sijaona hao wanajiita wasomi wanavyolisaidia taifa, ili vilaza wajovunie wasomi wao, naona tunafanana tu.
 
Waabudu shetani nimewakamata kunako, tulieni sindano iwaingie.
Yaani kuabudu shetani kukoje, maana mada haina uhusiano mambo ya Kiimani, hebu jaribuni kutenganisha Mambo basi, kwenye hizi mada kuna watu tunajifunza na kuondoka na kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…