Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahahhahahhahh umenifurahsh ila kila mtu na iman yakemshana jr njooo chumvi nayo vipi? usikute watu wanapiga promotion ipande bei ifike bei ya sukari
KabisaHahhahahhahahhahh umenifurahsh ila kila mtu na iman yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatoa tu uchawi ni iman ya mtuMasomo mengine hayafai kusemwa mitandaoni utaitwa bure mchawi.
Chumvi kwa maana ya uvinza au?Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
KakaDADA UMETISHA
Hii mpya kwangu ndio kwanza nisikie,kuna Aunty yangu nakumbuka nilihamia nyumba mpya sasa Normally hua tunafanya Maulid kabla hatuja amia,alipokuja yeye akasema chukuweni chumvi ufungue iwekeni wazi sikujua maana yake lakini alikua mtu mzima nikasema haya fanyeni anavyotaka yeye...Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Mimi kwanza ningependa kujua, mkosi ni nini?Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Mkos ni jambo au hali ya kupatwa na mambo mabaya yaan kila kitu ukihitaji kufanikiwa kinagoma. Mfano kila jambo unalofanya huwez kufanikiwa hata ufanye nin unakuwa mtu wa kushindwa tuMimi kwanza ningependa kujua, mkosi ni nini?
Sukari nayo je inaondoa nn?
Upo correctInawezekana hata kwenye biblia Elisha aliyatibu yale maji yaliyokua yanasababisha miscarriage kwa kuyawekea chumvi
biblia za sasa hazinaTobiti ipo kwenye bilblia mbona sjaona icho kitabu
Unasubiri hadi mabonge yalainike au ukichanganya tu unatumia hivyo hivyo?Unayachanganya na kumwaga mahali husika au kujipaka au kuogea au kuchoma huku ukinuizia
Nadhani ni pilipili mangaMkuu umekusudia Hiliki ndio inayofanana na mbegu za papai na ndio inayo tiwa ndani ya Pilau? hongera kwa somo lako.View attachment 449728
