Matumizi ya E-mail kuchepuka



Mimi hata watumie radio call, atashikwa tu
 
Ila humu ndani kuna watu..
Muende stand up comedy tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Wala, namaanisha, atashikwa tu, yani nina tu machale ambazo tukinicheza lazima kuna mazingira mabaya.
 
Ki vyovyote mkuu..??
Kuna njia zingine ni ngumu kugundua au wee ni mtundu wa kutumia simu ..

Nakueleza, mimi hapa nilipo nikiwasha laptop, napata raman ya mji mzina na ninaona mke wangu yupo wapi kwenye google map, na hajui. Na miaka yangu 55 siachi gap, maana shemeji yenu mdogo sana.

Na ina sevu hizo route, nikitaka review tarehe 9 January alienda wapi na wapi, naona. Yani hata wawasiliane na makopo na bomba katikati, kushikwa atashikwa tu.
 
Nakueleza, mimi hapa nilipo nilowasha laptop, napata raman ya mji mzina na ninaona mke wangu yupo wapi kwenye google map, na hajui
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we mkuu
Umetisha sana daah kweli upo makini..

Sijui atatumia technologia gani kufanya hayo mambo asijue...
Mybe physical tuu
 
Nakueleza, mimi hapa nilipo nikiwasha laptop, napata raman ya mji mzina na ninaona mke wangu yupo wapi kwenye google map, na hajui. Na miaka yangu 55 siachi gap, maana shemeji yenu mdogo sana.
Unajitafutia magonjwa ya Moyo, binadamu hachungwi Kama kuku.

Halafu Kwa akili zetu wanawake anaweza kutoka, simu akaiacha Kwa mtu unayemwamini na akafanya yake....binadamu hachungwi.
 
Unajitafutia magonjwa ya Moyo, binadamu hachungwi Kama kuku.

Halafu Kwa akili zetu wanawake anaweza kutoka, simu akaiacha Kwa mtu unayemwamini na akafanya yake....binadamu hachungwi.

Kwa hao wanaume wenu mafala, Hata hapo kwa rafiki si itasoma tu, wewe uelewi nachosema, na hujui, basi tu mnajiona wajanja, ila kwangu lazima nikushike tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…