Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Huyu jamaa nina wasi wasi nae...aise angekuepo kipindi cha osama basi angemyaka fasta sana huko milima ya Kandahar......
Ukute ni programmer au ni mtaalamu wa IT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa nina wasi wasi nae...aise angekuepo kipindi cha osama basi angemyaka fasta sana huko milima ya Kandahar......
I should ask you that question.Hey darling!!! You want to cheat me? [emoji15]
Nitakupa asilimia kumi ya mapato[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila nikifumaniwa namleta Baba K hadi kwako, tukung'utwe wote.
Nikushauri acha kumpekua, binadamu ni complex, hachungiki....unaweza kumfatilia kumbe anatumia device ya mtu mwingine kufanya mawasiliano ovu...Shakuwa mtu mzima, watoto wako sio wadogo wa kusumbua, si namwachia Nyumba, akae hapo na wanae naenda tafuta mwanamke mwingine, kwani tunasumbuana basi?
Sasa umeamua kutoa Siri. Unawasanua shemeji zako au sio. [emoji23][emoji23][emoji23]Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.
Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?
Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Tunaweza kupigwa 3some na kichapo juu, Baba K ni special case🤣🤣🤣🤣Tutapiga 3some don’t worry [emoji23]
Baba K with 2 Kei
Ukiwa mshamba basi hii njia utaona ya kijanja sanaMambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.
Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?
Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Jamaa anatoa Siri khaaa! [emoji23][emoji23][emoji23]Unastua watukamate
I should ask you that question.
Tunaweza kupigwa 3some na kichapo juu, Baba K ni special case[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umetishaHajui, maana wananiteta sana na Mama yake, vibaya mno, mno, Mama anamwambia jitahidi basi unitumie hela, tafuta namna huyo mwanaume hawezi kukunyima, naona zote...
Naona text anatongozwa mpaka na ndugu zangu, naona mpaka wakati mwingine anawaambia watu wanaomtongoza, mimi nimerizika na mume wangu.
Naona vitu ambavyo angekua naona asingekuwa na amani kabisa, mengine ananitukana na ma best zake kiaina, etc.
Seriously!Oohoo!! Really? [emoji23]
Program Gani hiyo. Toa utaalamuNakueleza, mimi hapa nilipo nikiwasha laptop, napata raman ya mji mzina na ninaona mke wangu yupo wapi kwenye google map, na hajui. Na miaka yangu 55 siachi gap, maana shemeji yenu mdogo sana.
Na ina sevu hizo route, nikitaka review tarehe 9 January alienda wapi na wapi, naona. Yani hata wawasiliane na makopo na bomba katikati, kushikwa atashikwa tu.