Matumizi ya E-mail kuchepuka

Matumizi ya E-mail kuchepuka

Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.

Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?

Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Mambo yote gb whatsap tu huku kwingine uzush
 
Mbinu mpya imejulikana Tena...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watarudia mbinu za kupiga mawe juu ya bati na mluzi...
ni katika kuhakikisha maovu yanaendelea kufanyika kwa kificho na gizani zaidi
 
yaani umeenda mbali zaidi hadi pdf?, inaonekana wewe ni professional eneo hili ee, ,
maana pdf sie tumezoea tu lile la teuzi na tenguzi lile la Zuhura yunusi,
Kumbe nyie mnatumia for appointment
😂 Kaa kitaalam
 
Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.

Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?

Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Duh
 
kwanh yupo? Vp unapoenda kusex nayeye ana msex my beib?? Umeniacha hoi ngoja nicheke taratibu hahaha hahaha the mixing killaaa
yaani ata ukinywa bia 4 useme sasa uondoke nyumbani anakuzonga na upepo wa kisulisuli eti uongeze 2 for the road.....

ata ukiwa na mchepuko anakushawishi uvuke mipaka uwe firauni uingie kwenye kundi lake baya zaidi....

Hapo kiroho unajua kabisa motroo wako wa jehanam unaongezwa tena ni wa mawe yailiyoshika moto hadi mekundu....

Shetani kitu mbaya sana aise
 
Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.

Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?

Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Noted my future hubby umekwisha asantee [emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom