Matumizi ya E-mail kuchepuka

Matumizi ya E-mail kuchepuka

Siku hizi tunachat kwa google doc, yaani tunakuwa na shared document ambayo tunaitumia kufanya conversation.

Page ya kwanza hadi ya 5 inawekwa content flan kama za kiofisi, page 5 za mwisho pia kuna content flan kama za kiofisi, then hapo katikati ni full mipango.

Ili kuzikuta hizo lazima aingie kwenye Google Drive
 
nipe mupya
Wengine Tunatumia Barcode Na QR...
Huyu jamaa Atatuaharibia Sana...
Screenshot_20231113-173844.png
Screenshot_20231113-173810.png


Kwa mfano kama unawwza kuscan scan hii Code..Utaoata ujumbe..

November13-054110PM.png

November13-054202PM.png
 
Mi ex wangu nimempa mbwinu ya kunitumia text, picha, nk jamiiforums kwenye pm, bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaidi na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwez laki mana ni mtandao wa maboss, madon maskin hatumii jf kutokana na gharama bas wife anatulia nachukua simu yangu naendelea chati na mchepuko
 
Mi ex wangu nimempa mbwinu ya kutunitumia text, picha, nk jamiiforums bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaid na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwenz laki mana ni mtandao wa mabos tu bas anatulia nachukua simu naendelea chat na mchepuko

Umeoa kilaza
 
Mi ex wangu nimempa mbwinu ya kutunitumia text, picha, nk jamiiforums bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaid na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwenz laki mana ni mtandao wa mabos tu bas anatulia nachukua simu naendelea chat na mchepuko
Alooo! Umeniacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23]. Hii inaitwa counterattack intelligence techniques
 
Ni mambo mepesi sana, fanya utafiti, ila sio za bure, ingawa kuna za bure.
Mzee unafatilia kwa kina.

Kuna ndugu yetu age ya 50+, kaoa mke umri mdogo alishakataza kwenda kwake bila kumpa yeye taarifa hata uwe ni jinsia tofauti. Kusali jumuiya mpaka awepo, sokoni na shopping zote anaenda yeye. Simu ya mkewe muda wote ipo mkononi mwake, safari ndefu anasafiri na wife wake.
 
Hawajakutana na wapekenyuzi.

Niikamate mkononi simu yako kwa lengo la Kuchunguza kama una mpango wa kando utoke salama! Nefwaaaaa!!

Hizo sijui parallel space, e-mail n.k nafumua kote, utakuja kushtuka nakuonesha picha ya mhusika, utajiuliza nimeipata vipi ilhali kwenye simu yako hakuna.

“Yote hayo ya nini, tunachagua AMANI”.
 
Mzee unafatilia kwa kina.

Kuna ndugu yetu age ya 50+, kaoa mke umri mdogo alishakataza kwenda kwake bila kumpa yeye taarifa hata uwe ni jinsia tofauti. Kusali jumuiya mpaka awepo, sokoni na shopping zote anaenda yeye. Simu ya mkewe muda wote ipo mkononi mwake, safari ndefu anasafiri na wife wake.


Na wanaweza mgongea, mi nampa uhuru wote, na m monitor kwa technolojia na hapaswi kujua.
 
Back
Top Bottom