uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Program Gani hiyo. Toa utaalamu
Ni mambo mepesi sana, fanya utafiti, ila sio za bure, ingawa kuna za bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Program Gani hiyo. Toa utaalamu
Asitoe jamani, wanawake tutaisha humu mitaani, tutanyongwa.....🤣🤣🤣🤣Program Gani hiyo. Toa utaalamu
Seriously!
Wengine Tunatumia Barcode Na QR...nipe mupya
si mtulie tu aisee,Wengine Tunatumia Barcode Na QR...
Huyu jamaa Atatuaharibia Sana...
View attachment 2812770View attachment 2812771
Kwa mfano kama unawwza kuscan scan hii Code..Utaoata ujumbe..
View attachment 2812795
View attachment 2812794
Hahaj Kuchepuka Kuzuri wewe 😅😅si mtulie tu aisee,
pigeni hata nyeto
Ondao woga. Mnatakiwa mjiamini na kutuheshimu full stop [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asitoe jamani, wanawake tutaisha humu mitaani, tutanyongwa.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi ex wangu nimempa mbwinu ya kutunitumia text, picha, nk jamiiforums bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaid na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwenz laki mana ni mtandao wa mabos tu bas anatulia nachukua simu naendelea chat na mchepuko
Alooo! Umeniacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23]. Hii inaitwa counterattack intelligence techniquesMi ex wangu nimempa mbwinu ya kutunitumia text, picha, nk jamiiforums bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaid na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwenz laki mana ni mtandao wa mabos tu bas anatulia nachukua simu naendelea chat na mchepuko
Wengine Tunatumia Barcode Na QR...
Huyu jamaa Atatuaharibia Sana...
View attachment 2812770View attachment 2812771
Kwa mfano kama unawwza kuscan scan hii Code..Utaoata ujumbe..
View attachment 2812795
View attachment 2812794
Mzee unafatilia kwa kina.Ni mambo mepesi sana, fanya utafiti, ila sio za bure, ingawa kuna za bure.
nimeoa kilaza?? Ungejua wife ana degree 6 mi nimeishia la sita, broo hiyi mbinu za watu wenye akili na sio wenye elimu, unazubaishwa huku unapigwa huku, msomi utazitoa wapi akili kama hiziUmeoa kilaza
sahihiAlooo! Umeniacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23]. Hii inaitwa counterattack intelligence techniques
Kazi gani tena mkuunimekutafuta muda mrefu sana wewe, umenirahisishia kazi nilopewa na mteja wangu na imani mteja wangu ataniamini zaidi sasa, na atanipatia kazi nyingine tena
Mzee unafatilia kwa kina.
Kuna ndugu yetu age ya 50+, kaoa mke umri mdogo alishakataza kwenda kwake bila kumpa yeye taarifa hata uwe ni jinsia tofauti. Kusali jumuiya mpaka awepo, sokoni na shopping zote anaenda yeye. Simu ya mkewe muda wote ipo mkononi mwake, safari ndefu anasafiri na wife wake.