Matumizi ya E-mail kuchepuka

Matumizi ya E-mail kuchepuka

Mi ex wangu nimempa mbwinu ya kunitumia text, picha, nk jamiiforums kwenye pm, bas wife akitaka kunichunguza akifungua tu asome text anakutana na mada za rikboy tundakimasihara anaishia hapohapo na kuniambia mmewangu mnafaidi na mm niunganishe na mwambia kujiunga jf laki mbili na kila mwez laki mana ni mtandao wa maboss, madon maskin hatumii jf kutokana na gharama bas wife anatulia nachukua simu yangu naendelea chati na mchepuko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kubwa kuliko
 
Watu wapo serious humu
Unaweza jua wanachekesha ila ndo mambo wanayoyafanya 😂😂😂😂
aloooh😂😂 humu jf ni sehemu pa kujifunza kwanza, nilishika simu ya dem mmoja anajifanya mjanja nikashika simu yake nikawasha google timeline ,😂 google map inanimbia alitoka wapi kwenda wapi sa ngapkwauda gani na usafiri ghan mm na mchora tu
 
aloooh😂😂 humu jf ni sehemu pa kujifunza kwanza, nilishika simu ya dem mmoja anajifanya mjanja nikashika simu yake nikawasha google timeline ,😂 google map inanimbia alitoka wapi kwenda wapi sa ngapkwauda gani na usafiri ghan mm na mchora tu
Duuuh hiyo ya google location...🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Si mpaka akiwa amewasha location sio
 
Back
Top Bottom