Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Mama awe anamkumbuka na makamu wake.

Ingependeza “Pemba” iende na “Kigoma”
Watu wa Kigoma ni washamba na wapuuzi Sana.Wako.wengi serikalini,wasanii,Wana michezo,wanasiasa na mawaziri hadi vp lakini hadi kesho kwao kumejaa mavumbi.

Hawapendi kwao sijui Wana shida gani,toka enzi za Mwendazake wamejaa kwe cabinet lakini hopeless kabisa..

Kama hawajui lobbying na hawajali kwao nani wa kuwasemea?
 
Umeongea kwa hisia sana bro , Chillax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…