Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Pemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.

Huyu SSH anajaribu kila njia, kila janjajanja kupeleka pesa nyingi zaidi ya inavyotakiwa nyumbani. Hakuna uwiano wowote wa idadi ya watu na kiasi cha pesa kinachopelekwa.

Kungekuwa na formula ya kuamua haya mambo sio mtu mmoja kujiamulia atakavyo. Kuweka Mwanza na Tanga ni kutaka kuwazuga Watu.

Ni bora tu hii mikopo yake yote awe anapeleka Zanzibar, ila kwenye kulipa wasikimbie.
 
Huyu SSH anajaribu kila njia, kila janjajanja kupeleka pesa nyingi zaidi ya inavyotakiwa nyumbani. Hakuna uwiano wowote wa idadi ya watu na kiasi cha pesa kinachopelekwa.

Kungekuwa na formula ya kuamua haya mambo sio mtu mmoja kujiamulia atakavyo. Kuweka Mwanza na Tanga ni kutaka kuwazuga Watu.

Ni bora tu hii mikopo yake yote awe anapeleka Zanzibar, ila kwenye kulipa wasikimbie.

Mbona unateseka wazanzibari kukopewa??? Watu wa sampuli kama wewe ndiyo maana hamuendelei. Huu mkopo umewauma sana.


Hebu nikuulize, je, awamu zilizopita nchi ipi ilineemeka na mikopo/misaada kutoka nje kati ya zanzibar na Tanzania bara??
 
Mapumbavu haya ni kuyasaka na kupiga pini.

Uhuru wa Maoni ukiachwa kwa wapuuzi una gharama ya upotoshaji na uchochezi.

Mama usiwachekee Hawa wapuuzi.
Hivi sisi wa ,
1 MCHAMBA WIMA
2 MAKUNDUUCHI
3 JAMBIANI
4 MKUNYEGE
tutapata chuma ngapi huu mwaka rojo itatukoma yaheee lazima wazenji tujazie nyuma sura hata mbuzi anayo
 
Mbona unateseka wazanzibari kukopewa??? Watu wa sampuli kama wewe ndiyo maana hamuendelei. Huu mkopo umewauma sana.


Hebu nikuulize, je, awamu zilizopita nchi ipi ilineemeka na mikopo/misaada kutoka nje kati ya zanzibar na Tanzania bara??

Sio mkopo tu huu muungano hauna faida yoyote kwa Watanganyika, angalia, ardhi, Wabara kuongoza hata mtaa Zenj, ajira, attitude zenu kwa Watanganyika.

Mtanganyika anapata haki Kenya, Uganda kuliko Zanzibar. Tuuvunje tubaki wote EAC. Tutakuwa tunakutana huko.

Issue sio sana mkopo, mtalipa kwa kiwango hichohicho mnachopewa?

Hujui maendeleo yangu wewe, hakuna anayeteseka. Jikite kwenye mada. Kama huwezi usini-quote.

Inaitwa jamii forum for a reason where we dare to talk openly.

Muhimu tuuvunje huu Muungano mkope mnavyotaka.
 
Sio mkopo tu huu muungano hauna faida yoyote kwa Watanganyika, angalia, ardhi, ajira, attitude zenu kwa Watanganyika.

Mtanganyika anapata haki Kenya, Uganda kuliko Zanzibar. Tuuvunje tubaki wote EAC. Tutakuwa tunakutana huko.

Issue sio sana mkopo, mtalipa kwa kiwango hichohicho mnachopewa?

Hujui maendeleo yangu wewe, hakuna anayeteseka. Jikite kwenye mada. Kama huwezi usini-quote.

Inaitwa jamii forum for a reason where we dare to talk openly.

Muhimu tuuvunje huu Muungano mkope mnavyotaka.

Muungano hauna maana yoyote. Nitahappy cku muungano ukivunjika, zanzibar itaendelea sana, nchi za nje zitawekeza sana huko na sapoti nyingi watapata.

Allah awajaarie afya njema mama samia na Mwinyi
 
1645339185109.png
 
Hebu nikuulize, je, awamu zilizopita nchi ipi ilineemeka na mikopo/misaada kutoka nje kati ya zanzibar na Tanzania bara??

Zanzibar ilipata share yake, pamoja na facts kwamba nusu ya Wazanzibar wameruhusiwa kununua ardhi kuishi kama Watanganyika kamili. Wanaweza kugombea nafasi yoyote bara kuanzia mtaa kijiji, kata, wilaya mkoa, ubunge, uwaziri nk. Hakuna ubaguzi huku.

Angalia sasa huyu SSH anatupeleke wapi?

Angalia issue za umeme, maji,mfumuko wa bei , pembejeo kwa wakulima, tozo, mikopo, Ngorongoro, Bagamoyo, Ndugai, Mbowe anavyowashughulikia wenye mawazo mbadala.

Linganisha na Hussein Mwinyi, kaunganisha nchi, wapinzani kawaleta serikalini, mafisadi anashugulikia nao kama JPM, anajua anataka nini?

Huku bara tumerudisha mafisadi wahuni serikalini, tunayumbayumba kama mlevi wa Gongo. Muungano ni sababu mojawapo yeye kuwa pale, anaturudisha nyuma sana.
 
Back
Top Bottom