Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Hizi kauli za kiujumla kuzipima ni ngumu sana,
Kukuza ustawi wa jamii how?ndio wakija wale omba omba wa misikitini na kanisani plus waliokisa fedha za kujitibu na ada tuwaambie nendeni serikalini wana fedha?
Kukuza miji? How, tutegemee kuona nini?
Bi binafsi napenda utatuzi wa kiuchumi na sio kisiasa.kiuchumi hapo unachagua barabara ambayo inakuza biashara na kuacha watu watumie fursa.
Mfano morogoro road kwa wingi huu wa magari inapaswa iwe njia nne .angalau hata maeneo machache chahe ili kupurahisisha usafirishaji, ndio njia inayotumiwa na nchi jirani kwa asilimia kubwa sana.

Ni hoja moja tu .lakini barabara inapimika kwa kiasi kikubbwa kama hicho.
 
Nafikiri kwa haraka sana twende kwenye mfumo wa majimbo. Tufikie mkoa ule kwa jasho lake.

Haiwezekani,nasema haiwezekani MBEYA ukasahaurika kiasi hiki. Ona barabara za mbeya,sehemu fupi tu lakini foleni yake sio ya kitoto. Barabara ni hiyo moja tu,inapitisha magari makubwa ya kwenda Zambia,DRC na kwingineko. Bado na magari ya wenyeji hapo hapo.

Ukija kwenye mapato mbeya haiwezi kukosa kwenye big 4 zinazoongoza kwa ukusanyaji wa mapato. Lakini imesahaurika muda mrefu sana. Inapitwa hata na Tabora ambayo ni halmashauri tu. Mwanza kila wakati lazima iguswe

Angalau waipe barabara tu. 4 way,kuanzia hata igurusi mpaka air port hivi kwa kuanzia. Baadae ikiungwa mpaka tunduma ili kuunganishwa mji.
 
Kazi ipo mwendazake katuachia funzo kubwa, ukiwa na madaraka usiwe Ka Nyerere au Mwinyi au Mkapa au JK, wewe Komaa na kwenu!
Hivi JK pale Msoga Leo kungekuwa na traffic lights. Kiwanja cha ndege Chalinze, ghorofa la TRA, CRDB branch😂😅😅😅

Ndiyo legacy hiyo!

Hivi Ile hotel ya kitalii Chato, aliyokuwa anajenga Kigwangallah imeshaisha??
Serikali ilikuwa inajenga hotel?? Shame wakati ilishaachana na biashara ya mahotel!
 
Mbona yule kichaa alikuwa anapeleka hela Chato bila taarifa lkn hamkusema?

Pemba ni sehemu ya Tanzania acheni ujinga

Yule mwehu alidiriki hata kubeba wanyama toka Serengeti N.P kwenda Chato lkn mlikaa kimya
Tulikuwa tunafanya kazi ngumu ya kuitetea Chato kila siku humu jukwaani.
 
Yale yale ya mliokuwa mnalalamikia ya Chato siyo. Haya sasa waliokuwa wanalalamika mambo ni yale yale tu.
Lema akichukua nchi rasilimali zote zitakwenda uchagani. Majaliwa akichukua nchi kila kitu kitakwenda Lindi. Huo ndio uhalisia wa siasa za afrika.

Tuwaache watu wa visiwani na wale wa Kigoma wafurahie matunda ya uhuru.
 
Watu wa Kigoma ni washamba na wapuuzi Sana.Wako.wengi serikalini,wasanii,Wana michezo,wanasiasa na mawaziri hadi vp lakini hadi kesho kwao kumejaa mavumbi.

Hawapendi kwao sijui Wana shida gani,toka enzi za Mwendazake wamejaa kwe cabinet lakini hopeless kabisa..

Kama hawajui lobbying na hawajali kwao nani wa kuwasemea?
Roho za kirundi ni za kimaskini sana. Mimi kwetu Ngara hivyo hao ni majirani zangu. Unamleta Dar unamlisha na kumfadhili kila anachokifanya mwisho wa siku anashirikiana na wenyeji kukuibia na anaanzisha maneno mabaya kuwasema ndugu zake waliomtoa nyumbani kumleta Dar.

Roho fulani za kishenzi sana.
 
Tanganyika kuna baadhi ya watu wana roho baya .
Yaani matamanio yao Zanzibar sijui iweje yaani hawataki hata maji ya kunywa yapelekwe Zenji.
Samia /Hussein please give Zanzibaris referendum on this nonsense called union
It will help to bring this to any end.
Na tutaheshimiana
 
Back
Top Bottom