Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

Matumizi ya hela za EU ni zamu ya Pemba

mcheza kwao hutunzwa, go east go west home is the best, no place is sweet like home.
kwa taarifa tuu hakuna binadamu asie pendelea sehemu aliyotokea na hakuna mtu asiyependa watu wa kwao kwanza.
hebu fanya uchunguzi kidogo tuu.
Nyerere aliipendelea nini Mara?
Hata upendeleo unakiwango chake ukizidi unakuwa ni wizi.
 
Labda tuwaangalie wapemba na mchango wao ktk siasa za Tz, Uimarishaji wa miji ya Tz pamoja na Utumishi wao ktk Tz.
Siasa: Upinzani unaotisha
Miji: Kama Dar
Utumishi: Salim Ahmed, Omar Ali Juma, Dr
Shein, Prof Mbarawa nk.
Hop titaweza kujua km wangestaiki kuzngatiwa
 
Wanga na wachawi wana kazi kweli awamu hii.....na hv raisi ndo harogeki watazidi kuteseka
 
Hawajakuambia ni sukuma gang wazee wa sukuma phobia?

Haha, watu wenye kuendekeza ukabila, gangs culture, udini kuwatenganisha Watanzania hawako mbali. Wanakuja.

Kama hawawezi kujibu hoja, wanaizima kwa majibu rahisi, sukuma gang roho mbaya.
 
Nyerere aliipendelea nini Mara?
Hata upendeleo unakiwango chake ukizidi unakuwa ni wizi.

Hakuna anayekataa Pemba isiendelezwe, Sehemu zote Tanzania inabidi ziendelezwe. Kuwe ba uwiano, mwisho wa siku atakayelipa madeni haya yote ni Mtanganyika na vizazi vyake.

Ikumbukwe pia Tanganyika haina serikali yake, Rais, Serikali ya JMT inatakiwa pis iangalie maslahi ya Tanganyika na Watanganyika pamoja na ya Muungano. Sababu Tanganyika haina serikali yake kama Zeni.

But it seems she is not that much interested kuangalia huu usawa, uwiano.

Uwiano uko wapi? Upendeleo umezidi au uko sawa kabisa?

Swali la msingi ni hili:-
Ni sawa Zanzibar kuwa inapewa over 20% ya mikopo, 21% ya ajira za Muungano, Uraia kamili kama Mtanganyika yoyote wakati kule Zenji ni kinyume chake.
 
Zanzibar ilipata share yake, pamoja na facts kwamba nusu ya Wazanzibar wameruhusiwa kununua ardhi kuishi kama Watanganyika kamili. Wanaweza kugombea nafasi yoyote bara kuanzia mtaa kijiji, kata, wilaya mkoa, ubunge, uwaziri nk. Hakuna ubaguzi huku.

Angalia sasa huyu SSH anatupeleke wapi?

Angalia issue za umeme, maji,mfumuko wa bei , pembejeo kwa wakulima, tozo, mikopo, Ngorongoro, Bagamoyo, Ndugai, Mbowe anavyowashughulikia wenye mawazo mbadala.

Linganisha na Hussein Mwinyi, kaunganisha nchi, wapinzani kawaleta serikalini, mafisadi anashugulikia nao kama JPM, anajua anataka nini?

Huku bara tumerudisha mafisadi wahuni serikalini, tunayumbayumba kama mlevi wa Gongo. Muungano ni sababu mojawapo yeye kuwa pale, anaturudisha nyuma sana.

napita tu kwa taarifa
 
Nyerere aliipendelea nini Mara?
Hata upendeleo unakiwango chake ukizidi unakuwa ni wizi.
nimesema fanya uchunguzi kidogo wewe umeingia ndani sana,
ok aliipendelea Tanganyika kuliko zanzibar ndiyo maana sasa jambo likifanyika zanzibar tunashtuka lakini pia alikipendelea chama cha mapinduzi kuliko vyama vingine katika uchaguzi wa 1995
kuliwahi kusikika sauti zikinongona aliwapendelea wa waumini wa Roman Catholic church mpaka akatoka hadharani na kukanusha jambo lile.
hata police wengi wakati wa uongozi wake walitoka kanda ya ziwa.
but hakuwa mbinafsi kwa kweli Kama viongozi waliomfuata, aliupenda ujamaa hasa mpaka tukawa na maduka ya ushirika mashamba yakulima pamoja n.k R.I.P MJAMAA WA KWELI.
 
Watu wa Kigoma ni washamba na wapuuzi Sana.Wako.wengi serikalini,wasanii,Wana michezo,wanasiasa na mawaziri hadi vp lakini hadi kesho kwao kumejaa mavumbi.

Hawapendi kwao sijui Wana shida gani,toka enzi za Mwendazake wamejaa kwe cabinet lakini hopeless kabisa..

Kama hawajui lobbying na hawajali kwao nani wa kuwasemea?
Watu wa kanda hiyo wakipewa vyeo wanakuwaga wanoko na kujifanya wazalendo sana, wanasahau kuwa kazi za serikali ni sawa na kutumiwa kama condom, ni za muda tu.

Mtazame Makamu wa Rais, kuna muha mwingine anaitwa Yamungu Kayandabila. Wapo baadhi JPM aliwapa nafasi za juu wakishindwa kujenga kwao imekula kwao.
 
nimesema fanya uchunguzi kidogo wewe umeingia ndani sana,
ok aliipendelea Tanganyika kuliko zanzibar ndiyo maana sasa jambo likifanyika zanzibar tunashtuka lakini pia alikipendelea chama cha mapinduzi kuliko vyama vingine katika uchaguzi wa 1995
kuliwahi kusikika sauti zikinongona aliwapendelea wa waumini wa Roman Catholic church mpaka akatoka hadharani na kukanusha jambo lile.
hata police wengi wakati wa uongozi wake walitoka kanda ya ziwa.
but hakuwa mbinafsi kwa kweli Kama viongozi waliomfuata, aliupenda ujamaa hasa mpaka tukawa na maduka ya ushirika mashamba yakulima pamoja n.k R.I.P MJAMAA WA KWELI.
Aliipendelea kwa namna ipi hiyo?
Ety minong'onong'ono hilo mawaziri wa-catholic walikuwa watatu tena mmoja
alikuwa ana ndoa ya wake wawili u-catholic wake ukawa na mashaka na iliandikwa na
mwandishi wa nje sio watu wa ndani.
Acha siasa uchwara..
 
Back
Top Bottom