ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Mbwa ni wewe,baba yako na hao waha wenzio.Ni cabinet ya Kigoma?! Mbwa koko wewe.
mcheza kwao hutunzwa, go east go west home is the best, no place is sweet like home.
Mtu kwao, hata JIWE aliipendelea chato.Pemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.
Hao unao waita wakaazi wa Dar wakirudi makwao watabaki mil 2 tu. Waambieni watu warudi makwaooo!Pemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.
Mwanza na Tanga hakuna jipya Ila hawamu hii mambo ni fair tunaisikia pemba na unguja hata kwenye bajeti za serikali tofauti na awamu zote ambapo walikuwa kimya mno
Pemba ni kama Kigoma ilisahaulika tangu 1961 tulipopata uhuru. Ni zamu ya hizi sehemu kukua kiuchumi.Wacheni ubaguzi wa kijinga kwa hiyo hiyo mwanza na tanga hukuziona
Milioni mbili ni wengi sana. Wazaramo halisi wapo mbagala na bunju hawafiki hata milioni moja.Hao unao waita wakaazi wa Dar wakirudi makwao watabaki mil 2 tu. Waambieni watu warudi makwaooo!
Tulikuwa tunafanya kazi ngumu ya kuitetea Chato kila siku humu jukwaani.Mbona yule kichaa alikuwa anapeleka hela Chato bila taarifa lkn hamkusema?
Pemba ni sehemu ya Tanzania acheni ujinga
Yule mwehu alidiriki hata kubeba wanyama toka Serengeti N.P kwenda Chato lkn mlikaa kimya
Lema akichukua nchi rasilimali zote zitakwenda uchagani. Majaliwa akichukua nchi kila kitu kitakwenda Lindi. Huo ndio uhalisia wa siasa za afrika.Yale yale ya mliokuwa mnalalamikia ya Chato siyo. Haya sasa waliokuwa wanalalamika mambo ni yale yale tu.
Roho za kirundi ni za kimaskini sana. Mimi kwetu Ngara hivyo hao ni majirani zangu. Unamleta Dar unamlisha na kumfadhili kila anachokifanya mwisho wa siku anashirikiana na wenyeji kukuibia na anaanzisha maneno mabaya kuwasema ndugu zake waliomtoa nyumbani kumleta Dar.Watu wa Kigoma ni washamba na wapuuzi Sana.Wako.wengi serikalini,wasanii,Wana michezo,wanasiasa na mawaziri hadi vp lakini hadi kesho kwao kumejaa mavumbi.
Hawapendi kwao sijui Wana shida gani,toka enzi za Mwendazake wamejaa kwe cabinet lakini hopeless kabisa..
Kama hawajui lobbying na hawajali kwao nani wa kuwasemea?
Zuzu house girl wa mkwere [emoji1787][emoji1787]yupo ulaya ana uza nchi kisha akirudi tz anatuletea tunu za kufufua uchifu ,,,
Pemba ni nyubani.