Labda jeshi lichukue nchi lakini sisi wananchi wenye nia njema na tz hatuwezi kuwaachia nchi ukoo wa kikwete habadaniSukuma gang mmefura hatari. Hakuna namna kuweni wapole tu. Sukuma gang sahauni kurudi ikulu tena.
Mi naona kila mkoa ule kwa urefu wa mapato yakePemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.
Wallahi jamaa wana roho mbaya hawa!Wacheni ubaguzi wa kijinga kwa hiyo hiyo mwanza na tanga hukuziona
Kwani umeambiwa itapata shilingi ngapi? Halafu Dar kwa miaka yote hiyo imepata jumla ya ngapi kuliko mikoa mingine?Pemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.
Umeongea point.Mbona yule kichaa alikuwa anapeleka hela Chato bila taarifa lkn hamkusema?
Pemba ni sehemu ya Tanzania acheni ujinga
Yule mwehu alidiriki hata kubeba wanyama toka Serengeti N.P kwenda Chato lkn mlikaa kimya
Nyie si mnalazimisha Muungano, ndio gharama zake hizo.Pemba ina wakazi wasiozidi laki tano ila inapokea fedha kwa mabilioni kuizidi hata Dar yenye wakazi karibu milioni saba.
Daraja la Busisi linaendelea vizuri sana kwa kweli.Mbona yule kichaa alikuwa anapeleka hela Chato bila taarifa lkn hamkusema?
Pemba ni sehemu ya Tanzania acheni ujinga
Yule mwehu alidiriki hata kubeba wanyama toka Serengeti N.P kwenda Chato lkn mlikaa kimya
Pemba ni sehemu ya nchi ya Zanzibar achen ukipofu.Mbona yule kichaa alikuwa anapeleka hela Chato bila taarifa lkn hamkusema?
Pemba ni sehemu ya Tanzania acheni ujinga
Yule mwehu alidiriki hata kubeba wanyama toka Serengeti N.P kwenda Chato lkn mlikaa kimya
Naskia limesisimama.Daraja la Busisi linaendelea vizuri sana kwa kweli.
Oyeeee!!!Pemba oyeeee! Kojani oyeeee! Mwana kwerekwe oyeeee! Chake chake oyeee! Mchamba wima oyeeee! Zanzibar oyeeee!!
Chifu Hangaya oyeee! Mpemba Mimi oyeee!! @Abdalla mpemba oyeee! Ali Kombo oyeee! Makame oyeee!
Umeona mbali.Hapo Mwanza na Tanga zimewekwa kama geresha. Huo msaada ni wa Pemba. Wakatafune Halwa
Duuh!!!! Ngum kumeza.
Hawajakuambia ni sukuma gang wazee wa sukuma phobia?Zanzibar ilipata share yake, pamoja na facts kwamba nusu ya Wazanzibar wameruhusiwa kununua ardhi kuishi kama Watanganyika kamili. Wanaweza kugombea nafasi yoyote bara kuanzia mtaa kijiji, kata, wilaya mkoa, ubunge, uwaziri nk. Hakuna ubaguzi huku.
Angalia sasa huyu SSH anatupeleke wapi?
Angalia issue za umeme, maji,mfumuko wa bei , pembejeo kwa wakulima, tozo, mikopo, Ngorongoro, Bagamoyo, Ndugai, Mbowe anavyowashughulikia wenye mawazo mbadala.
Linganisha na Hussein Mwinyi, kaunganisha nchi, wapinzani kawaleta serikalini, mafisadi anashugulikia nao kama JPM, anajua anataka nini?
Huku bara tumerudisha mafisadi wahuni serikalini, tunayumbayumba kama mlevi wa Gongo. Muungano ni sababu mojawapo yeye kuwa pale, anaturudisha nyuma sana.
Siku za muungano zinahesabika.Itakuwa vizuri, sasa ni wakati wenu wa kupigania sana uvunjike. Marais wote ni wenu. Sisi Watanganyika tutawapa ushirikiano wote unaohitajika. Ni wakati muafaka, hii style ya Muungano imepitwa na wakati.
Sioni harakati zenu kama hapo awali.
Majimbo ndio mwarobaini.Nafikiri kwa haraka sana twende kwenye mfumo wa majimbo. Tufikie mkoa ule kwa jasho lake.
Haiwezekani,nasema haiwezekani MBEYA ukasahaurika kiasi hiki. Ona barabara za mbeya,sehemu fupi tu lakini foleni yake sio ya kitoto. Barabara ni hiyo moja tu,inapitisha magari makubwa ya kwenda Zambia,DRC na kwingineko. Bado na magari ya wenyeji hapo hapo.
Ukija kwenye mapato mbeya haiwezi kukosa kwenye big 4 zinazoongoza kwa ukusanyaji wa mapato. Lakini imesahaurika muda mrefu sana. Inapitwa hata na Tabora ambayo ni halmashauri tu. Mwanza kila wakati lazima iguswe
Angalau waipe barabara tu. 4 way,kuanzia hata igurusi mpaka air port hivi kwa kuanzia. Baadae ikiungwa mpaka tunduma ili kuunganishwa mji.