CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Pateni Exposure madogo, tembeeni nchi kama INDIA, NIGERIA, SOUTH AFRICA, Nk.Una IQ ndogo waache wenye IQ kubwa wajadili suala hili
Usaili unafanya na unaruhusiwa kuchanganya Lugha nyingine, mfano SA unaweza ongea English na ukachanganya na Kizulu nk.
Unashindwa nn kuelezea mfumo wa kitu fulani unavyofanya kazi kisa lugha? Mbona tumesoma BIOLOGY na tunatumia maneno ya KIGIRIKI kibao tu.
Acheni kukariri na ndio maana mnakosa ajira.
Ina maana akitokea mtu asiyejua lolote kuhusu kada yako na hajui kiingereza utashindwa kumuelezea kipi hasa ulichosomea na kinahusika na nini.
WAPUMBAVU.