Matumizi ya kungu

Matumizi ya kungu

bunited

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
815
Reaction score
216
Jamani wandugu poleni na mapumziko.

Ni hivi,naomba kujua kazi ya kungu ni nini,inaandaliwa vipi,inaliwa na nini ili ifanye kazi vizuri kabisa na uweze kuickia.inapatikana wapi.mwenye kujua naomba anifahamishe tafadhali.

Nawakilisha

Kuna kungu aina mbili. kuna kungu tunda linalo chumwa mtini, hili ni la kawaida tunda kama matunda mengine.

Alafu kuna kungu ile wanayotumia wadada hasa wa pwani kama Tanga, Zanzibar hata bara pia watumiaji wameongezeka, hii sio tunda bali ni madini inayopikwa wenyewe wanajua zaidi na inakua kama kashata yenye kung'ara, hii ukila ndo inaregeza macho, inachosha mwili na kumfanya mwanamke aonekane ni mwenye hisia nyingi, na wanatumia ili kumvutia mwanaume, hamna kazi ingine zaidi ya hiyo, km vile mwanamke akivaa shanga kiunoni wala haina faida yyte kwake illa ni kwa lengo la kumvutia mwanaume.

Lakani hii yote ni kwa wale wenye mawazo ya kingono ngono ndo itamvutia, wale wa kuangalia sana muvi za ngono alafu anataka amjaribie mkewe au demu wake wakati wale wanafanya mazoezi mtu kabinuliwa unataka kumbinua mpenzi wako utamvunja kiuno.

Tuacheni mawazo ya ngono, mwanaume asie na mawazo hayo wala hawawezi kushawishika na shanga wala hizo kungu, au sijui bikini, akah, bibi zetu hawakuvaa hizo bikini lakana mbona babu zetu walikua wakivutiwa sana na wanawake wao?

wanaume wote, tuacheni mawazo ya ngono na tufatilie yale yaliokua muhimu kwenye maisha yetu. ni hayo tu
 
Sokoni,
inalegeza macho kama mtu kanywa pombe,
inafanya papuchi iwe ya motooooo
inaongeza kama sio kuleta nyegge..
 
Yaonesha weye kweli hujui kungu ni kitu gani..


Chakula



Kungu lachumwa mtini au waliokota chini liangukapo


Laliwa kwa kutumia meno...


Mtini, chini ya mti au sokoni...

hivi huwa yanafanana na matoke eeh!!
 
jamani wandugu poleni na mapumziko.ni hv,naomba kujua kazi ya kungu ni nn,inaandaliwa vp,inaliwa na nn ili ifanye kazi vzr kabsa na uweze kuickia.inapatikana wapi.mwenye kujua naomba anifahamishe tafadhali.nawakilisha

Wenye utanaka kulegea wenye?eeh!!
 
Yaonesha weye kweli hujui kungu ni kitu gani..


Chakula



Kungu lachumwa mtini au waliokota chini liangukapo


Laliwa kwa kutumia meno...


Mtini, chini ya mti au sokoni...

acha masihara yakhe.tueleweshe wenzio unajua
 
hivi huwa yanafanana na matoke eeh!!

1393774767073.jpg
 
tatizo watu mnapenda masihara.mtu anapouliza kitu badala ya kutoa msaada nyie mnaleta matani.toeni msaada jamani ni muhimu
 
yaan pamoja na picha, bado nimetoka kapa! loh!
 
Back
Top Bottom