Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Mkuu, UNASEMAA?Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.
FANYENI KAZI NYIE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, UNASEMAA?Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.
FANYENI KAZI NYIE
Mchele unazidi mahindi kwa nutritional value?Naomba pilau ichukue nafasi ya ugali na ugali uchukue nafasi ya pilau imagining Ugali uwe unapikwa siku muhimu tu, brillant
AnaaibishaFicha ujinga wako
Safi sana zileMajani ya kunde yalio anikwa juani yakakauka
Wewe una akili gani?W
Wewe na familia yako
🤣🤣HAta kuutamka hawajui,wanaita yugalai
Nani kakwambia wachina wanakula ugali wewe mwehuKwani wachina wanakula nini? Nasikia China ni nchi iliyopiga hatua kubwa kabisa ya maendeleo katika miaka hii 30
Endelea kula ngano Acha wanaokula mahindi waendeleeSalaam, Shalom!
Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.
Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,
Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.
NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.
Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.
Angalizo: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.
Tanzania na Afrika stand up!!
Karibuni 🙏
Ngano isokobolewa IPO masoko yote.Brown wheat inapatikana wapi Tanzania hii?
Inasambazwa na AZAM au kampuni gani?Ngano isokobolewa IPO masoko yote.
No, masoko makuu ya kawaida wanauza.Inasambazwa na AZAM au kampuni gani?
Wewe jamaa una matatizo yani unataja mboga kuu nyumba kwangu. Watoto watatu wote masters wajukuu wawili wote ni ktk top five huko walipo mboga nayo kuwa ketu ni nsansa, tembele na nswalu, acha kujfurahisha.Shida ya ugali hauna protein, hata carbs content ni ndogo kwa sembe, sasa imagine mtu anakula ugali na sansa😂😂?
Unajibizana na mwehu. Wew kweli mwehuNani kakwambia wachina wanakula ugali wewe mwehu
😄 🤣 naona wehu wawili mnajibizana,Unajibizana na mwehu. Wew kweli mwehu
Hii imegusaa penyewe🤣🤣 hii ni forum,Wewe jamaa una matatizo yani unataja mboga kuu nyumba kwangu. Watoto watatu wote masters wajukuu wawili wote ni ktk top five huko walipo mboga nayo kuwa ketu ni nsansa, tembele na nswalu, acha kujfurahisha.
Kazi yenyewe tunafanya ili tule mkuu. Sasa huwezi kua na maarifa ya kufanya kazi kama unakula kisicho sitahiliYani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.
FANYENI KAZI NYIE