Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.

FANYENI KAZI NYIE
Mkuu, UNASEMAA?
 
Watu wanatakiwa wale ngano ,mchele , viazi , mihogo ,ndizi , nyama na mboga za majani + matunda na si kuendekeza upuuzi wa kula ugali wa mahindi chakula cha nguruwe na ng'Ombe
 
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Angalizo: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Endelea kula ngano Acha wanaokula mahindi waendelee
 
Walevi wangeongoza kuwa na akili nyingi ajabu wanachoweza ni kutosahau nyumbani kwao tu.

Umeuzwa Bei Chee na umeingia wavuni samaki wa Bei Rahisi wewe.
 
Chakula ambacho huwezi kukila peke yake lazima kitegemee chakula kingine ndo kilike,kuna cha kujiuliza hapo, wali unalika peke yake, mkate unalika peke yake, UGALI sasa…., bila mboga, mmmh 😀…., no wonder Africa ni tegemezi kwa sababu ya kula sana ugali 😂
 
Wewe jamaa una matatizo yani unataja mboga kuu nyumba kwangu. Watoto watatu wote masters wajukuu wawili wote ni ktk top five huko walipo mboga nayo kuwa ketu ni nsansa, tembele na nswalu, acha kujfurahisha.
Hii imegusaa penyewe🤣🤣 hii ni forum,
Factors ziko nyingi hii ni moja wapo, kitu kingine nutritional effect inavary kutokana na factor nyingi mfano blood type na genes,

Ndo maana hao watoto wako usidhani kwamba ulivyo walisha mswalu ukadhani ndo umewafanya wawe bipanga kama unavyo dai pengine zaidi ya asilimia 60 ww ndo umewaharibu,

Kingine masters hazidetermine intelligence
 
Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.

FANYENI KAZI NYIE
Kazi yenyewe tunafanya ili tule mkuu. Sasa huwezi kua na maarifa ya kufanya kazi kama unakula kisicho sitahili
 
Back
Top Bottom