Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Ficha ujinga wakoMwili una mechenism ya kubadilisha carbohydrate kua proteins,.......gluconeogenesis,.........kuandika sana si kua na maarifa,bado wewe ni mjinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wakoMwili una mechenism ya kubadilisha carbohydrate kua proteins,.......gluconeogenesis,.........kuandika sana si kua na maarifa,bado wewe ni mjinga
Kwa hiyo umeona wakurya ndiyo tunapenda sana ugali sawa tataHata Israel chakula Chao kikuu ni ngano,
Ardhi tunayo ya kutosha,
Tubadilike.
Najua kusema ugali, ni kuleta ugomvi na wasukuma na wakurya huko lake zone.
Akili ni nini?Wale nshomile ni Wana akili sababu ya matokeo,
Wachaga pia wamechanganka kichwani sababu ya ndizi,
Sasa wakila ngano itakuwa zaidi.
Tubadilike
Sansa umenikumbusha Sikonge 😂😂Shida ya ugali hauna protein, hata carbs content ni ndogo kwa sembe, sasa imagine mtu anakula ugali na sansa😂😂?
Kama ipo ipo tu.Kwani wachina staple food yao ni ngano?Salaam, Shalom!
Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.
Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,
Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.
NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.
Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.
NB: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.
Tanzania na Afrika stand up!!
Karibuni 🙏
Hiyo assignment nimekupa wewe kaifanye uje na majibuUnaweza weka research/andiko/case study/Trial yeyote ile inayoonesha ugali unadumaza akili?
Nimecheka kwa sauti kubwa SanaaaNimejikuta nacheka sana, eti "Ugali na Mchunga" ile mboga bwana.
Inaitwa ugali Ivo Ivo, maana hawana chakula aina hiyo.Wakuu ugali kwa lugha ya malikia (kiingereza) unaitwaje?
kula na kut****mbaYani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.
FANYENI KAZI NYIE
Sasa ugali haukupi hamu ya kusoma vitabu.
ngano ndo itanipa hamu ya kusoma?!Sasa ugali haukupi hamu ya kusoma vitabu.
Sansa ndio mboga gani?Shida ya ugali hauna protein, hata carbs content ni ndogo kwa sembe, sasa imagine mtu anakula ugali na sansa😂😂?
wapi amesema sansa ni mboga?Sansa ndio mboga gani?
Jaribu uone, ngano isokobolewa( brown wheat).ngano ndo itanipa hamu ya kusoma?!
Duh akili huleta maarifa.😁😁😁juzi nimeenda kwenye graduation nikawakuta madogo geto wanakula ugali na tomato sauce ndo mboga!
Huu ugali huu🤣Duh akili huleta maarifa.
Kuna watu wana nunua ubuyu wa rangi kisha wanautia maji wanatengeza sosi la Ubuyu wakiweka na limao linakuwa mtindi wanalia ugali
Huo huo mkuuHuu ugali huu🤣