Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

NB: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Naunga mkono hoja, ugali hauna faida yeyote mkuu

Labda tuufanyie fortification, unga wa ugali uongezwa Iron, vitamins na madini mengine kadhaa. lasivyo, tunaangamia kama taifa.

Sijui kwa nini watu wa afya hawaoni hili.

Majirani zetu unga lazima uwe fortified na kuwekwa kwenye vifungashio vya karatasi na sio viroba
 
Swala sio ugali,swala n ugali na mboga gani?.
Ukila mboga yenye virutubisho vyote na matunda iyo effect manayosema ya ugali ni ndogo sana.
Kweli Mkuu. Tunakula portion kubwa sana ya ugali badala ya nyama kwa ugali tunakula ugali kwa nyama, badala ya kula kuku kwa chips tunakula zaidi chips kuku
 
Kwani wachina wanakula nini? Nasikia China ni nchi iliyopiga hatua kubwa kabisa ya maendeleo katika miaka hii 30
 
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

NB: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Naunga Mkono hoja ugali uwe chakula cha hamu tu na si chakula msingi 😀, twende sasa kwenye uzalishaji wa ngano na mchele uwezo wetu ukoje?
 
Mtasingizia kila kitu mpaka mtaanza kusema hatuna akili kwasababu tuna utajiri wa ardhi nzuri kwa kilimo. Ukweli ni kwamba hatujipangi, hatuthamini kazi na vipaji na hatujiamini na kujithamini pia
 
Kula ugali sio tatizo tatizo nipale tunapo hitaji kuwaiga wazungu Kwa Kila wanacho kifanya katika maisha Yao ,na sisi waafrika tunazo akili nyingi tu nasio wajinga ila tu dhana mbovu tulizo jijengea akilini mwetu kuwa hiki hatuwezi ilihali tunaweza pale tunapo amua, wale wazungu pamoja na kuwa Wana sayansi na kula vizuri ila angalia tabia zao mbovu tu akili zao finyu. Mfano juzi Uingereza wabunge walipiga kura za kufupisha vifo vya watu mahututi,walemavu wa akili na wale walio bakiza mda mfupi wa kuishi kulingana na majibu ya daktari na wameshinda wachache walio Pinga
Hakika mkuu,leo imekuwa wazungu ushoga na usagaji ndio mtindo wa maisha,Sasa hapo akili ipo wapi? Yaani mtu mwenye akili kweli anaweza kuamini kuwa mwanaume kufanya sexual transplant ili awe Kama mwanamke ni sawa? Yaani na yeye atumike Kama mwanamke! Hivi jamani does it make sense kuwa anus itumike kufanya ngono, kweli njia ambayo purposely ni kwa ajili ya kutoa uchafu?
Kama matokeo ya akili za kula ngano kwa so called wazungu na westerners ndio hayo
Basi Bora mm niendelee kula Dona la mahindi mpk naingia kaburini aisee
 
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

NB: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Hili andiko ni kijembe kwa Daniel Chongolo, maana nae alivokuwa katibu mkuu wa ccm aliwahi kusema "Katiba mpya haikuletei kiroba cha ugali nyumbani kwako".
Alione kwenye nakala.
 
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

NB: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Unaweza weka mechanism of action ya ngank kwenye kuongeza akili, na mahindi kwenye kupunguza akili?
Viongozi wako wa serikali wauze migodi,bahari,mapori,mashamba etc nchi ibaki masikini uje usingizie umasikini umeletwa na mahindi?
 
Shida ya ugali hauna protein, hata carbs content ni ndogo kwa sembe, sasa imagine mtu anakula ugali na sansa😂😂?
Mwili una mechenism ya kubadilisha carbohydrate kua proteins,.......gluconeogenesis,.........kuandika sana si kua na maarifa,bado wewe ni mjinga
 
Ugali unadumaza akili
Cha kushangaza ndiyo unapikwa shuleni na gerezani
Unaweza weka research/andiko/case study/Trial yeyote ile inayoonesha ugali unadumaza akili?
 
Mwili una mechenism ya kubadilisha carbohydrate kua proteins,.......gluconeogenesis,.........kuandika sana si kua na maarifa,bado wewe ni mjinga

Unatia aibu kitu hukijui unaleta ujuaji, gluco ni kufipi cha neno glucose a simplest sugar form, mwili ina weza kubadili carbs kuwa fat au fats kuwa carbs, gluconeogenesis ni pathway ya kuproduce glucose na sio protein
 
ugali kama sembe tunao kula unatoshea nn? Kazi ya wanga ni kuupa mwili nguvu,
Sasa uga sembe ujajua una calories ngap per 100 gram? Ni dust
Maize flour is also high in antioxidants, iron, phosphorous, zinc, and various vitamins. It's considered good for eyesight and may help prevent cancer and anemia
Wheat flour contains slightly more fiber than corn, and most of it is in the bran section. Wholemeal wheat flour has more fiber than regular wheat flour, making it more filling.
 
Back
Top Bottom