Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Wewe juha wa wapi?
 
Umetoa ushauri mzuri
Lakini kilimo ni pure science pia ni biashara.
Je jiulize mara ya mwisho kuyaona matikiti ya kienyeji ni lini, jale matikiti ya rangi nyuesi , haya matikiti ya zebra ni GMO.

Due to global population, tz ss ina watu 60 ml. Mashamba yetu ni heka kumikumi, utavuna kiasi Gani kwa mbegu za kienyeji kwa hii global warming and pollution.

Tunapoelekea ni kubaya Zaidi
Lazima tuambiane ukweli, zitumike njia salama za science kilimo
Hahaha siyo kweli, Matikiti yako aina nyingi sana, matunda ambayo ni GMO hayana mbegu, na Hat yakiwa nazo hazioti hiyo ni sifa moja wapo ya matunda ya GMO. Unadhani Dunia nzima yalikuwa meusi tu? Huku niliko mimi meusi yapo, na tunaotesha maporini yanaota na tuna vuna kama zamani.

Population ya Tanzania haina shida na mbegu za asili, Tumekuwa tukizitumia miaka yote na hatukuwahi kupata shida yoyote, ukame, kiangazi na mvua ni majira yalikuwepo toka enzi hizo na tulimudu maisha kwa mbegu hizi hizi za asili.

Tatizo letu hatukuwa na nyenzo, na utaalam kulima kwa mpangilio, au mnaita kisasa, lakini kama tukitumia technologia kulima na kumwagilia, kuweka mbolea, mbegu zetu za asili zinatosha sana.

Nani alikwambia mbegu za asili hazitoshi kwa population yetu? Wafanya biashara wanataka ununue mbegu zao kila utakapo kulima, sasa kwanini wakuachie mbegu za kwako za asili? Ile biashara kumbuka.

Science haimaaniishi unaondoa uasilia, unaweza kuacha uasilia au ukauboresha tu na mambo yakaenda.
Ng'ombe wa maziwa ni hybrid, lakini hata ng'ombe wetu wa asili wanatoa maziwa mpaka leo. Hizo Angus, na frezan ni maboresho ya kibiashara tu, lakini siyo replacement ya ng'ombe wetu wa asili.

Science inatumika kuboresha pia, lakini siyo ku replace kila kitu.

Unafikiri Global warming, na population raise imeanza leo? hayo ni mambo yapo tangu enzi na enzi.
Usiichukulie science kama ni mbadala, kuna vitu vya asili vina work vizuri tu.

Leo hii unaweza ku clone wanyama, unadhani inashindikana ku clone binadamu? Hakuna sababu, kila kitu kina maana kama kilivyokuwa mwanzo.

Wasikupotoshe ukawaamini, bakiza za kwako.
 
Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Lakini mbona tunapiga sana bia inayotengenezwa kwa ngano, tàtizo liko wapi?
 
Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
kwahiyo
ugali wa ngano 'isokobolewa' = akili?
kama mambo ni rahisi hivi ndio maana bwana yule alituita Africa ni shit hole (yani mnduku).
 
Je na hawa black people wanaoishi Marekani wameathirika na ugali au kule Jamaica .

MTU mweusi hana akili sawa sawa hata akila wali nyama kila siku

This race is cursed .
Mambo ya ugali ni visingizio MTU mweusi duniani kote hana akili

Wachache ndo wanajitambua.
 
Ngoja niedit,

Ngano isokobolewa,

Ukitaka ugali, pika ugali wa ngano brown
Hii ngano, Asali na zabibu zimetumiwa sana na Watu wa mashariki ya kati kwa maelfu ya miaka mpaka leo

Na kweli Waarabu, Waisrael, Wayunani[Wagiriki], Waajemi[Wairan] na Warumi walikuwa bright sana na ndio waasisi wa maendeleo yote Duniani

Ukuchoandika kina ukweli historically mpaka leo hii
 

Attachments

  • download (7).jpeg
    download (7).jpeg
    12.6 KB · Views: 2
  • images - 2024-12-01T095810.022.jpeg
    images - 2024-12-01T095810.022.jpeg
    29.2 KB · Views: 2
  • images - 2024-12-01T095730.141.jpeg
    images - 2024-12-01T095730.141.jpeg
    50 KB · Views: 2
Ni mwafrika huyo Kwa asili
I am going to add my insight: Honestly If Cardi B is black it’s only a small percentage, but theres no proof that she is black, and no it’s not too much to ask for her to show some proof considering that she uses the N word in her songs, that’s a very sensitive topic (especially considering how black people are treated in today’s world). So my answer is no and I’ll explain:

A) There isn’t enough proof that her father is black.

It is already a known fact that Cardi B’s mom isn’t black the question is whether her father is black. Now we know her father is Dominican and for that reason people believe that he must be black, BUT just because someone comes from a place with a lot of African descent doesn’t automatically mean that they are black. Similarly just because America has a lot of white people that doesn’t mean that Kendrick Lamar will be white too.

B) Growing up around black culture doesn’t make you black.
Cardi B grew up in the Bronx (New York) the Bronx is a multicultural place with black and latinx culture being the most prominent. For this reason people feel that if Cardi B grew up around a lot of black culture she should be able to identify as black. But all that means is that Cardi B is a Hispanic person with an interest in black culture.

C) Cardi B didn’t even identify as black until she saw fit. People love to say that she was pushed into identifying as black, but that’s not true people on social media began to question whether she was black, which is to be expected when someone of questionable races uses the N word, from there she decided to claim she was black only after she began to rise to fame and saw fit (think about how much more black listeners she would get if they believed she was also black)
 
Back
Top Bottom