Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Salaam, Shalom!!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Mataifa yaliyofanikiwa yaliwekeza kwenye rasiliamali watu wao waliamini hakuna mtu mjinga hakuna mtu anayekuja Dunia bure hata yule aliyefeli shule bado waliamini ni ana akili kama watu wengine sisi waafrika tulichelewa tuliamini mtu aliyefeli shule ni kilaza mwisho tunakuja kuona hata wale walioshindwa shule wanamaisha mazuri kuliko wasomi
 
Mataifa yaliyofanikiwa yaliwekeza kwenye rasiliamali watu wao waliamini hakuna mtu mjinga hakuna mtu anayekuja Dunia bure hata yule aliyefeli shule bado waliamini ni ana akili kama watu wengine sisi waafrika tulichelewa tuliamini mtu aliyefeli shule ni kilaza mwisho tunakuja kuona hata wale walioshindwa shule wanamaisha mazuri kuliko wasomi
Jikite kwenye mada,

Ugali una faida Gani kiafya ukilinganisha na ngano?
 
Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni
Subiri The Icebreaker aje
 
Ugali ni kama chakula cha watumwa wale wapate nguvu na akili kidogo za kufanyia kazi sio kuwa wabunifu na wadadisi.

Hata hapa bongo walaji wa ndizi kwa wingi wengi wanachangamka kichwani. Hawa wala makande na sembe ni tiamajitiamaji.

Kula nyama, ngano, maziwa, mizizi kama viazi na magimbi, asali, wadudu kama senene na kumbikumbi na samaki. Sio kila siku ugali, ugali, ugali aaah lazima tuwe na taifa la vilaza.
 
Ugali ni kama chakula cha watumwa wale wapate nguvu na akili kidogo za kufanyia kazi sio kuwa wabunifu na wadadisi.

Hata hapa bongo walaji wa ndizi kwa wingi wengi wanachangamka kichwani. Hawa wala makande na sembe ni tiamajitiamaji.

Kula nyama, ngano, maziwa, mizizi kama viazi na magimbi, asali, wadudu kama senene na kumbikumbi na samaki. Sio kila siku ugali, ugali, ugali aaah lazima tuwe na taifa la vilaza.
Wale nshomile ni Wana akili sababu ya matokeo,

Wachaga pia wamechanganka kichwani sababu ya ndizi,

Sasa wakila ngano itakuwa zaidi.

Tubadilike
 
Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Upo sahihi, ila ulipaswa useme

"Ngano isiyokobolewa" ile wanayotumia sana watu wa mashariki ya kati hasa Waisrael

Ngano nyeupe iliyokobolewa ndio mbaya zaidi kuliko hata ugali, kwa mfano mkate mweupe
 
Salaam, Shalom!!


Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Kama mtu Hana akili hana tu ata umpe debe la ngano
 

Attachments

  • Screenshot_20241130_232706_Netflix.jpg
    Screenshot_20241130_232706_Netflix.jpg
    153.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom