Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.

Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.

Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
 
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo. Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni. Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha.
Ukiwa Mtu mjinga utasema hivyo maana hujitambui
Hujui kuwa ni watu wangapi wanasikiliza wewe ni moja ya watu wapumbavu ndani ya TANZANIA
 
Ukiwa Mtu mjinga utasema hivyo maana hujitambui
Hujui kuwa ni watu wangapi wanasikiliza wewe ni moja ya watu wapumbavu ndani ya TANZANIA
Naona umeleta matusi na kuropoka lakini unatakiwa kufahamu kwamba teknolojia hiyo haina faida kwa sasa. Lazima ife natural death kwasababu hakuna fedha za kujiendesha.
 
Kwanza kutegemea habari kupitia tv + redio ni kupitwa na wakati kwasasa technology imekuwa pana sana .... mimi mara ya mwisho kununua gazeti , kusikiliza hizo redio zao , na tv ...kwa lengo lakuoata habari ilikuwa 2010 ... from there cjawahi fanya ivo tena .... najua kuna wakolomije watakuja hapa kusema cjawatendea haki wa kijijini lakini huo ndo ukweli maana hata hao wa kijijini hawapati breaking news ... wanpta tarifa zilizopita muda wake ....xo nisawa na nothing
 
VOA,BBC,DEUSCH WELLE, RADIO CHINA, kenya kuna utitiri wa radiostations, bado zinaendelea kuwa hewani, au huelewi au hatukuelewi unachikilenga. au mwenzetu uko MARS unaishi kwenye Tianwen-1 iliyopo MARS
Hizo zote zinaishi kwa hisani ya kodi. Kibiashara redio zimeshapitwa na wakati maana watu kwa sasa wanapata habari kwenye mitandao.
 
Kwanza kutegemea habari kupitia tv + redio ni kupitwa na wakati kwasasa technology imekuwa pana sana .... mimi mara ya mwisho kununua gazeti , kusikiliza hizo redio zao , na tv ...kwa lengo lakuoata habari ilikuwa 2010 ... from there cjawahi fanya ivo tena .... najua kuna wakolomije watakuja hapa kusema cjawatendea haki wa kijijini lakini huo ndo ukweli maana hata hao wa kijijini hawapati breaking news ... wanpta tarifa zilizopita muda wake ....xo nisawa na nothing
Ni mitandao gan ya ndani ya nchi na nje ya nch ambayo ni mizuri kupata taarifa? Ambayo ntakua napata taarifa za uhakika on time!!!!
 
Naona umeleta matusi na kuropoka lakini unatakiwa kufahamu kwamba teknolojia hiyo haina faida kwa sasa. Lazima ife natural death kwasababu hakuna fedha za kujiendesha.
Unaandika usichokijua
Unaposema teknolojia ya radio unaongelea electromagnetic wave ambayo ndio pia inaunganisha simu yako na Internet
Radio technology haiwezi kupitwa na wakati. Matangazo ya Radio ndio ilikua hoja ya mleta uzi ni tofauti kabisa na kusema Radio technology
 
Ukiwa na smartphone, computer, au smart TV na kama hujatembea vijijini unakuwa na akili ndogo kama za chura aliyekuwa ndani ya bwawa dogo sana kisha anadhani duniani hakuna bwawa kubwa kuliko hilo alilokuwamo.
Fikiria mahali hakuna umeme au zile kaya za watu wa kipato cha chini, wangapi wana uwezo wa kumiliki kifaa cha kuwawezesha kuingia mitandaoni?
Hao watu wanaweza kumudu gharama za vifurushi vya kuunganishwa huduma ya mitandao?
Ukiwa mfanyabiashara wa FMCG (Fast Moving Consumer Goods) unataka kuwafikia wateja wako wote kwa haraka utaacha kutangaza redioni?
Watanzania wangapi wanajuwa kutumia ICT devices (smartphones included, i.e all portable devices at al.)?
 
Huko Kilosa MUFINDI mtandao wanausikia ndotoni,kwahiyo kisicho kufaa kwa dhiki sio rafiki
Nimesafiri zaidi ya vijiji mia moja vya hapa nchini na asilimia kubwa mitandao na simu janja zipo. Wasiokuwa na simu janja wataendelea kusikiliza redio mpaka pale watakapozipata.

Hata hivyo redio zitakazoendelea kudumu ni zile za serikali maana wao wanategemea ruzuku.
 
Hizi ndiyo akili za kutegemea siasa za mitandaoni pekee ukijihisi upo relevant na approval rate kubwa kumbe huku vijijini wengi hawasikii habari zako wamekusahau.
Alafu ma-CCM yako redio zote yanasikika hadi maporini huko yanazindua mashimo ya choo mawili shule ya watu 2000 yanajisifu yameleta maendeleo.
Yanapiga kampeni katiba mpya haina umuhimu mchakato huo utaleta vurugu kumbe yanajipanga yabaki milele madarakani.
 
Hizi ndiyo akili za kutegemea siasa za mitandaoni pekee ukijihisi upo relevant na approval rate kubwa kumbe huku vijijini wengi hawasikii habari zako wamekusahau.
Alafu ma-CCM yako redio zote yanasikika hadi maporini huko yanazindua mashimo ya choo mawili shule ya watu 2000 yanajisifu yameleta maendeleo.
Yanapiga kampeni katiba mpya haina umuhimu mchakato huo utaleta vurugu kumbe yanajipanga yabaki milele madarakani.
Ingawa nimeipenda Tanzania kwa vijijini watu ni wajanja mno.kasoro uchafu tuu hawajawa sawa
 
Hapana mwandishi unachokisema sicho.Redio ni muhimu sana.ila sasa redio zote hazina mvuto kwa sababu wamejikita kwenye michezo na bahat nasibu hawana habari tena nzuri.chukulia chombo cha habari BBC usauti ya ujeruman born bado zina mvuto kweli yaan ni raha kusikiliza.
 
Hapana mwandishi unachokisema sicho.Redio ni muhimu sana.ila sasa redio zote hazina mvuto kwa sababu wamejikita kwenye michezo na bahat nasibu hawana habari tena nzuri.chukulia chombo cha habari BBC usauti ya ujeruman born bado zina mvuto kweli yaan ni raha kusikiliza.

Kweli
 
Back
Top Bottom