Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

Unawezaje kusema haina maana kwa kuangalia tu mazingira yako wewe tu.

Hivi unaweza kuendesha gari huku unaangalia TV, ili kupata habari na burudani na michezo na mengineyo, unajua kuwa unaweza kufanya kazi ofisini au shambani huku unasikiliza redio, na kazi zikaenda vizuri, kuliko kufanya kazi huku unaangalia TV.

Unajua watu wengi, wakienda kulala wanapenda kutumia redi kupata habari burudani na michezo, kuliko kutumia kitu kichotoa mwanga kama TV. Hebu tembea Jiji la Dar, miji mingine mingine mikubwa siku Simba au Yanga wanacheza mechi zao, Uone watu wafuatilia mpira kuoitia Radio.
Kwa mimi naona radio ndio innanipa Habari zote moto moto kabla ya kila kitu
Unaendesha gari alfajiri unapata latest

Sasa wanaongelea kitabu cha prince Harry
Amelivuruga vibaya na ime leak
Hata jf hakuna
 
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.

Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.

Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
Mwandishi kabla ya ku_type mambo kama haya kwenye juu kubwa kama hii inakubidi uwe na Tafiti zakutosha si kuja na fikra fupi namna hii
Fatilia kwa umakini utakuta unakiongea ni non sense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kutegemea habari kupitia tv + redio ni kupitwa na wakati kwasasa technology imekuwa pana sana .... mimi mara ya mwisho kununua gazeti , kusikiliza hizo redio zao , na tv ...kwa lengo lakuoata habari ilikuwa 2010 ... from there cjawahi fanya ivo tena .... najua kuna wakolomije watakuja hapa kusema cjawatendea haki wa kijijini lakini huo ndo ukweli maana hata hao wa kijijini hawapati breaking news ... wanpta tarifa zilizopita muda wake ....xo nisawa na nothing
Kwa mtazamo uliyo nayo unabudi kuitwa Mtanzagiza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kwahiyo kwa wazo lako radio imeletwa kwajili ya watu kusikiliza tu?
Dunia imebadilika licha ya kupata elimu kupitia radio, Leo radio Ni chombo Cha kibiashara zaidi kupitia matangazo ambayo huwaingizia wamiliki mamilioni.
 
90 % ya wanaosikiliza redio ni watu wa mikoani angalia hata hao washindi wa kamari zao ni kutoka mikoani
Si kweli! Kwa redio za Dar es Salaam, wanaoshinda michezo ya kubahatisha Kwa kiasi kikubwa ni wa Dar es Salaam
 
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.

Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.

Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
Acha ulimbukeni bwana mdogo. Hizo nchi zilizoleta hayo maendeleo ya teknolojia bado wanatumia radio we nani kusema eti matumizi ya radio yamepitwa na wakati? Marekani, Ujerumani, Uingereza, China, Ufaransa na wengineo wanatumia radio tena kwa ufanisi mkubwa sana wawezaje kusema upupu km huu? Radio itabaki kuwa radio na hizo njia zingine zitakuwa na matumizi yake zote km njia za mawasiliano
 
Nyie vijana wa kuzaliwa miaka ya 2000+ mna matatizo sana. Mnaandika tu kila mnachokiwaza. You can't even do some research.

Hivi umejaribu tutafuta data kutoka TCRA kuangalia idadi ya redio stations kwa mwaka 2022 na miaka kumi kabla ikoje?

Kwa taarifa yako, redio stations zinazidi kuongezeka na sio kupungua, na pia hizo stations zinaongeza uwezo wa kuajiri (nyingi zake).

Halafu kwa akili yako unadhani watu wa mjini hawasikilizi redio? Nikwambie, watu wa mjini wanaongoza kusikiliza vipindi vya redio, tena wengi wakiwa kwenye magari yao binafsi, bajaji au dalala wanasikiliza sana redio, hasa vipindi vya michezo na vya burudani ya mziki. Sasa wewe kumiliki tu simu janja unafikiri mambo yote yameishia hapo.

Siku nyingine, jifunze kufanya utafiti kwanza kabla hujaandika uzi.
Nyie watoto wa kizazi hiki mnafeli sana maana hata kusoma mada na kuielewa ni changamoto kwenu.

Redio kama chombo cha habari na burudani kimepitwa na wakati na ndio maana kibiashara vingi vinavyomilikiwa na watu binafsi vimeshaanza kupoteza mwelekeo na kufilisika.

Redio zimeshapatiwa alternative. Watu wanapata habari na burudani kwa njia nyingine hivyo redio zinaelekea kupotea kabisa isipokuwa zile zinazopewa fedha na serikali.
 
Nyie watoto wa kizazi hiki mnafeli sana maana hata kusoma mada na kuielewa ni changamoto kwenu.

Redio kama chombo cha habari na burudani kimepitwa na wakati na ndio maana kibiashara vingi vinavyomilikiwa na watu binafsi vimeshaanza kupoteza mwelekeo na kufilisika.

Redio zimeshapatiwa alternative. Watu wanapata habari na burudani kwa njia nyingine hivyo redio zinaelekea kupotea kabisa isipokuwa zile zinazopewa fedha na serikali.

Nyie watoto wa kizazi hiki mnafeli sana maana hata kusoma mada na kuielewa ni changamoto kwenu.

Redio kama chombo cha habari na burudani kimepitwa na wakati na ndio maana kibiashara vingi vinavyomilikiwa na watu binafsi vimeshaanza kupoteza mwelekeo na kufilisika.

Redio zimeshapatiwa alternative. Watu wanapata habari na burudani kwa njia nyingine hivyo redio zinaelekea kupotea kabisa isipokuwa zile zinazopewa fedha na serikali.
Acha kukurupuka, nimekwambia upitie takwimu za idadi ya redio Tanzania hata hutaki, unaishia tu kusema zimepitwa na wakati.

Nimekwambia kuwa idadi ya redio stations inazidi kuongezeka kila mwaka badala ya kupungua. Je unajua uhusiano uliopo kati ya kuongezeka vituo vya redio na kufilisika? Je; hivyo vituo vya redio vinavyoongezeka vyote vinategemea kupewa fedha na serikali?

Hebu angalia hizi takwimu hapa

Screenshot_20230107-115448.jpg


Endelea kupitia hapa tcra uongeze maarifa kidogo, maana wewe huwesi kuchukua mda wako kwa ajili ya kusoma.


Siku nyingine uache kutumia akili zako kuanzisha mijadala badi utumie takwimu halisi
 
Acha kukurupuka, nimekwambia upitie takwimu za idadi ya redio Tanzania hata hutaki, unaishia tu kusema zimepitwa na wakati.

Nimekwambia kuwa idadi ya redio stations inazidi kuongezeka kila mwaka badala ya kupungua. Je unajua uhusiano uliopo kati ya kuongezeka vituo vya redio na kufilisika? Je; hivyo vituo vya redio vinavyoongezeka vyote vinategemea kupewa fedha na serikali?

Hebu angalia hizi takwimu hapa

View attachment 2471897

Endelea kupitia hapa tcra uongeze maarifa kidogo, maana wewe huwesi kuchukua mda wako kwa ajili ya kusoma.


Siku nyingine uache kutumia akili zako kuanzisha mijadala badi utumie takwimu halisi
Mkuu hata wao ni makanjanja na alieandika hiyo report
Bado tuko nyuma sana
Hebu soma hapo eti Radio stations in millions
Makosa kama haya hufanywa na watu wajinga tu I'm sorry to say that
 
Tcra wao wanahesabu hata online radio pamoja na youtube TVs.

Redio hazina future kibiashara, miaka michache ijayo utanielewa.

Tcra wao wanahesabu hata online radio pamoja na youtube TVs.

Redio hazina future kibiashara, miaka michache ijayo utanielewa
Shida yako unaongelea takwimu kwa maneno matupu. Takwimu hujibiwa kwa takwimu.

Rudi shule.
 
Mkuu hata wao ni makanjanja na alieandika hiyo report
Bado tuko nyuma sana
Hebu soma hapo eti Radio stations in millions
Makosa kama haya hufanywa na watu wajinga tu I'm sorry to say that
Check TCRA iko clear kabisa
 
Check TCRA iko clear kabisa
Nakubaliana na wewe mkuu sibishi
Ila ninachokataa ni kuwa huwa hawako makini wanapoandika sijui huwa hawarudii kusoma?

Hapa [emoji636] kuna Radio stations 600 tu sasa wao wanaandika in millions au hujaliona hilo kosa?

Tuko pamoja nilikuwa naweka sawa tu kuwa takwimu haziwezi kuwa in millions
Screenshot_20230107_143109.jpg
 
Nakubaliana na wewe mkuu sibishi
Ila ninachokataa ni kuwa huwa hawako makini wanapoandika sijui huwa hawarudii kusoma?

Hapa [emoji636] kuna Radio stations 600 tu sasa wao wanaandika in millions au hujaliona hilo kosa?

Tuko pamoja nilikuwa naweka sawa tu kuwa takwimu haziwezi kuwa in millions View attachment 2472171
Nimeliona Chief.
 
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.

Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.

Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
Mimi ni mdau mkubwa wa Radio nafikiri kwa wiki nasikiliza Radio kuliko kuangalia TV.
Huwa na angalia TV kwa ajili ya Taarifa za habari na chanell za saiyansi kama Discovery nk kwa bahati sina hobby sana ya tamthilia hivyo muda ulio baki nasikiliza Radio nk.
Natamani ningepata Radio kama Grundig Satellit 650 ili hata nikiwa milimani au sehemu isiyo na signal ya kawaida nipate kwani yenyeewe inatumia satellite.
ULAYA & Marekani radio mpya ambazo ni bei ya juu zinazalishwa kwa maelf kila siku kwa kuwa soko lipo. Majina makubwa ya Radio kwao ni kama; Sangean, Jensen, Sony, Grundig, Eton, Muzen, Phillips nk
Kimsingi kila mtu anauhuru wa kusikiliza/kuangalia anachopenda
 
Mwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.

Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.

Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.

Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
Kweli ukiwa na watu wapumbavu kama wewe,nchi ni vigumu sana kuendelea.

Mijitu kama wewe ni tatizo kwa kuwa mpo mpo tu.
Binafsi ninasikiliza redio zaidi kuliko ninavyotazama TV.
Redio hata ukiwa kazini unaweza kusikiliza na kazi zinaendelea.

Sipendi kabisa mijitu ya dizaini hii maana ni vigumu kuibadili kitabia ifikirie maendeleo ya nchi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu Radio bado zinatumika sana tu hata kwa wenzetu kulipoendelea. Labda ningekuelewa kama ungeelezea kuhusu Digital Audio Broadcasting (DAB). Kwasababu hii ndo aina ya kisasa ya matangazo ya radio kwa sasa. Tunatakiwa kuachana na hii aina ya matangazo tunayoendelea nayo kwasasa ya Analog kwasababu ina limitations nyingi sana.

Huwezi kukwepa Radio kwasababu huwezi kuwa na Simu au TV muda wote ila Radio unaweza. Kwasababu, yenyewe usikilizaji wake haukuzuii kufanya shughuli nyingine, unaweza kutembea unasikiliza, unasafiri unasikiliza, unafanya kazi unasikiliza. Ofisi nyingi watu ofisini mwao wana Radio. Mimi nikifika ofisini kitu cha kwanza naunganisha simu yangu ktk kompyuta nawasha Radio mpaka naondoka ndo nitaitoa. hii ni tofauti na simu au TV ambazo zinahitaji uache unachofanya ili utazame. Radio haiondoi concentration ya kazi
 
Mimi kila siku nasikiliza radio ila zote za online na ukweli sisikilizagi radio za Tz hata moja naonaga ni kelele na wanazipa headline stories za kishamba
Radio nayopenda hasa ni capital fm ya kenya hapo tangu 2009
Screenshot_20230107-220236~2.png
 
Labda hoja iwe kusikiliza radio za mbao, ndo zimepitwa na wakati. Lakini radio stations kila uchwao zinaanzishwa nyingine. Kwa sasa wilaya ngingi zina fm ststions zaidi ya moja na nyingine zinaongea lugha za kikabila.

Ukiangalia online radio ktk nchi zilizoendelea ni nyingi sana kwa eneo ukilinganisha na hapa kwetu.

Kama wazungu wanssikiliza radio, wewe una maendeleo gani mpaka useme zimepitwa ns wakati!?

Hivi unaanzaje kumwambia Abood afunge radio? Eti imepitwa na wakati!?

Unaupumbavu flani wakishamba.
 
Kuhusu Radio bado zinatumika sana tu hata kwa wenzetu kulipoendelea. Labda ningekuelewa kama ungeelezea kuhusu Digital Audio Broadcasting (DAB). Kwasababu hii ndo aina ya kisasa ya matangazo ya radio kwa sasa. Tunatakiwa kuachana na hii aina ya matangazo tunayoendelea nayo kwasasa ya Analog kwasababu ina limitations nyingi sana.

Huwezi kukwepa Radio kwasababu huwezi kuwa na Simu au TV muda wote ila Radio unaweza. Kwasababu, yenyewe usikilizaji wake haukuzuii kufanya shughuli nyingine, unaweza kutembea unasikiliza, unasafiri unasikiliza, unafanya kazi unasikiliza. Ofisi nyingi watu ofisini mwao wana Radio. Mimi nikifika ofisini kitu cha kwanza naunganisha simu yangu ktk kompyuta nawasha Radio mpaka naondoka ndo nitaitoa. hii ni tofauti na simu au TV ambazo zinahitaji uache unachofanya ili utazame. Radio haiondoi concentration ya kazi
Uko sahihi mkuu, digital radio zitaendelea kuwepo kwasababu ya urahisi wa kufanya broadcasting yake ila hizi za analogy lazima zitapotea.

Kimsingi hapo radio zitakuwa zime-evolve na kukabiliana na changamoto ya ujio wa mitandao ili na zenyewe ziwe zinapatikana mitandaoni.
 
Uko sahihi mkuu, digital radio zitaendelea kuwepo kwasababu ya urahisi wa kufanya broadcasting yake ila hizi za analogy lazima zitapotea.

Kimsingi hapo radio zitakuwa zime-evolve na kukabiliana na changamoto ya ujio wa mitandao ili na zenyewe ziwe zinapatikana mitandaoni.
Hii ni sawa na kusema ujio wa gesi ya kupikia utafanya matumizi ya kuni yapotee...
 
Back
Top Bottom