Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi amesema hazina maana kweli?!!! Au mimi ndo sijaelewa?!!!Hakika redio inabaki kuwa chombo muhimu cha mawasiliano Kwa mwanadamu,ubongo wako mdogo ndio unaweza kuweka bandiko kama hili kwamba dunia haiitaji tena huduma ya redio tena,ili kupata habari Kwa njia ya redio inahitaji redio na nguvu ya kuendesha redio,tofauti na mawasiliano mengine unayofikiri..ni mpuuzi Tu anayeweza kusema redio haina maana tena
Una hasira sana... Ila yeye kaandika alicho kiona.. ulipaswa kuelezea tu uonavyo kuliko kumpa maneno yote hayo,mara mwehu, idiot!!!! Hatuwezi lingana kimtazamo....Mtoa mada ni mwehu. Huwezi kuondoa radio. Hivi vitu vinasupplement each other. Vyote vinahitajika. Tunahitaji radio, tv, magazeti, internet based media. We need it all. Itakapokosekana internet, tv itacover, itakapokosekana radio itacover nk. Ila kwa kuwa mtoa mada is an idiot ndo maana anaandika mashudu kama haya. Sishangai kama sasa atakuwa anaadvocate kufuta vitabu vya hardcopy kwa sababu kuna e-books and that would reflect alivyo mpumbavu.
Hivi amesema hazina maana kweli?!!! Au mimi ndo sijaelewa?!!!
Mi nimeliona angalizo tu katika masa yake kuwa zinaelekea ukingoni kutokana na ukuaji wa teknolojia.........watu wanahamishia nguvu za kupata habari upande mwingine na hilo litaleta athari (hususani hasara) kwa wanaohusika na uendeshaji wa redio (hususani mabosi) na hiyo ndo tadsiri ya anguko.
Kwanza kutegemea habari kupitia tv + redio ni kupitwa na wakati kwasasa technology imekuwa pana sana .... mimi mara ya mwisho kununua gazeti , kusikiliza hizo redio zao , na tv ...kwa lengo lakuoata habari ilikuwa 2010 ... from there cjawahi fanya ivo tena .... najua kuna wakolomije watakuja hapa kusema cjawatendea haki wa kijijini lakini huo ndo ukweli maana hata hao wa kijijini hawapati breaking news ... wanpta tarifa zilizopita muda wake ....xo nisawa na nothing
Yaani utakuta redio Ina promote betting. Yaani nachokaga kabisa. Ni bora hata wasituwekee kwenye madaladala. Maana made a daladala wangejua promo wanayowafanyia wamiliki wa redio ni kama burebureMwishoni mwa miaka ya 1930s ndio redio zilianza kutumika na ilikuwa teknolojia maarufu sana wakati huo.
Wanasiasa kama Hitler na wengineo wakaitumia kueneza propaganda.
Kwa sasa redio hazina jipya, zimeshapoteza wafuasi. Hakuna mtu atakayefanya uwekezaji mpya kwasababu taarifa na burudani zinapatikana mitandaoni.
Nyingi zimejigeuza kuwa makampuni ya michezo ya kubahatisha hapa tz
Wewe umeamua kuweka ligi, lakini kwa nchi maskini matumizi ya redio yatachukua muda mrefu sanaNimesafiri zaidi ya vijiji mia moja vya hapa nchini na asilimia kubwa mitandao na simu janja zipo. Wasiokuwa na simu janja wataendelea kusikiliza redio mpaka pale watakapozipata.
Hata hivyo redio zitakazoendelea kudumu ni zile za serikali maana wao wanategemea ruzuku.
Kwanza alievumbua ana akili kubwa sanaHakika redio inabaki kuwa chombo muhimu cha mawasiliano Kwa mwanadamu,ubongo wako mdogo ndio unaweza kuweka bandiko kama hili kwamba dunia haiitaji tena huduma ya redio tena,ili kupata habari Kwa njia ya redio inahitaji redio na nguvu ya kuendesha redio,tofauti na mawasiliano mengine unayofikiri..ni mpuuzi Tu anayeweza kusema redio haina maana tena
Naunga mkono hoja zako kwa 100%Matumizi ya redio hayajapitwa na wakati bado,redio zinahitajika sana,Nina smartphone lakini nasikiliza redio na kuna vitu siwezi kuvipata kwenye simu lakini kwenye redio navipata,kuanzia
Burudani
Makala
Taarifa
Elimu
Ni mtandao upi utapata vipindi vya burudani kama Top 20,top 10 au mpambano wa wasanii nk.
Wapi utapata vipindi kama kutembelea wagonjwa hospitalini mitandaoni?
Ni mtandao upi utapata taarifa za habari za kina zinazohusu matatizo ya wakulima vijijini kutoka maeneo tofaut nchini na ukasikia wakitoa maoni yao.
Ni mbunge gani umeshamsikia akisema leo nitakuwa mitandao Fulani nikisikiliza kero za wapiga kura wangu? hayo utapata kwenye redio tu.
Na mwisho,kusikiliza redio ni nafuu zaidi(low cost)kuliko kutumia mitandao,kila siku lazima uweke bando wakati mwenye radio hana gharama zaidi ya umeme au betri alizoweka na pia rahisi kuendesha radio(energy)kuliko simu.Ukiwa nje ya miji ndio utajua kwamba simu ikizima na kama hakuna umeme utalazimika kusubiri mpaka urudi hata kama ni siku nzima wakati huo utakuwa huna habari yoyote wakati mwenye redio ana uwezo wa kununua betri muda wowote na akapata habari.
Kaulize wamachinga redio za mkononi au kubwa kidogo zinatoka kila siku ina maana mahitaji ni makubwa.
Hata kwenye hizo Smartphone kuna redio walijua umuhimu wake,watu wengi wanasikiliza redio,usidanganyike.
Kusikiliza redio kuna ladha yake tofauti kabisa na mitandao,hata kama umechoka ni rahisi kuzima simu au kuiacha pembeni lakini ukaendelea kusiliza redio bila karaha.
Msamehe bure tu mkuu, inawezekana ni mmliki wa Fm radio mojawapo.Naona umeleta matusi na kuropoka lakini unatakiwa kufahamu kwamba teknolojia hiyo haina faida kwa sasa. Lazima ife natural death kwasababu hakuna fedha za kujiendesha.