#COVID19 Matumizi ya sheria yatasaidia kuhakikisha Watanzania wote wanaostahili kuchanjwa chanjo ya COVID – 19 wanachanjwa kwa wakati, hakuna kubembelezana

Kwa hiyo wewe unamuamini huyo mvuta bange na anayejidunga masindano kila siku ili kuongeza matako yake kuliko wataalamu wa Afya?
Yeye alisema kilichomkuta binamu yake. Wewe mbona kiazi hivyo. Unaeleweshwa unakuwa mbishi
 
Hizo unazoleta ndio propaganda sasa. Kachanje, acha kupotoshwa na hao wahafidhina.
 
Hakuna kitu kama hicho ndugu. Hata chanjo ya ndui wapingaji walikuwepo na walikuwa na conspiracies kali tu. Tumechanjwa sote na mabega yana alama mpk leo.
 
Emergence kwenye afya haitafsiriwe kama hali ya hatari inayohitaji tamko rais. Tafsiri ya emergence kwa afya dharula tu ya kawaida hivyo utekelezaji wa sheria hii hauhitaji matamko. Kaeni tayari kwa kutekeleza wajibu wenu kisheria kuchanjwa
Ikumbukwe pia suala la chanjo hizi ni la HIYARI na hili limeshawekwa bayana. Hivyo kama mtu ameelimishwa na bado haoni umuhimu/ulazima wa kubadilisha mtazamo wake then hilo liheshimiwe na isiwe chanzo cha kuleta chuki ama uhasama kati ya wanaokubali kuchanjwa na wasiokubali chanjo hizi kwa sasa.
 
Hakuna kitu kama hicho ndugu. Hata chanjo ya ndui wapingaji walikuwepo na walikuwa na conspiracies kali tu. Tumechanjwa sote na mabega yana alama mpk leo.
Nineshaweka evidence za kutosha kuonesha hii kitu na ndui ni ujinga kuvilinganisha. Pitia mabandiko yangu utaona. Na evidence ninazoleta ni za waliozitengeneza. Kama unadhani unajua kuliko watengenezaji basi hamna shaka kachanje.

Sina tatizo na mtu kuamua kuchanja. Ni hiyari yake na ni mwili wake. Nina tatizo kubwa na walazimishaji kama mtoa mada.
 
Je vipi kuhusu wale viherehere
 
Kwenye vitu vya kijinga ndiyo mnajifanya mnajua sheria.
Huko kwenye hospital za serikali muwe mnatibu bure.
Unilazimishe kuchanja km nani? Kuna watu wanakufa kwa magonjwa hawana hela za kujitibia.
Mm ukinichanja kwa lazima, nakuhamzanise wewe pamoja na wenzako
 
Duh......hatari....... halafu watu bila kutumia akili wanatafuta vifungu vya sheria kulazimisha watu wachanjwe?

Public Health Act, 2009 section 24...........doesn't mention anywhere throughout ist clauses that vaccination is mandatory to all public sevants and general citizens as a whole.
 
Emergence kwenye afya haitafsiriwe kama hali ya hatari inayohitaji tamko rais. Tafsiri ya emergence kwa afya dharula tu ya kawaida hivyo utekelezaji wa sheria hii hauhitaji matamko. Kaeni tayari kwa kutekeleza wajibu wenu kisheria kuchanjwa
Ondoa ujinga wako na umebaki na siku sita tu uondoke na hiyo chanjo yako
 
Ukome!! Hakuna huduma ya afya ya lazima!! Hasa kama huduma yenyewe hakuna anayeweza kudhamini usalama wake!!
 
Emergence kwenye afya haitafsiriwe kama hali ya hatari inayohitaji tamko rais. Tafsiri ya emergence kwa afya dharula tu ya kawaida hivyo utekelezaji wa sheria hii hauhitaji matamko. Kaeni tayari kwa kutekeleza wajibu wenu kisheria kuchanjwa
Ukome, ushindwe na ulegee!! Kachanje mkeo na wanao kama utakuwa bado haujaridhika kachanje baba yako, mama yako na wadogo zako!! Ukiona bado haujaridhika kachanje wakweo!!
 
Kukataa chanjo ni kama kutaka kujiua au kudhuru wanajamii wengine. Hii sheria ifuatwe tumalize kazi haraka. Kwa ubishi wa watz kama zisingekuwepo sheria hata chanjo zingine za watoto wazazi wangegoma tu. Punguzeni woga chanjo ni salama.
Usifunue ujinga wako!! Chanjo gani ambaho hakuna serikali aala mtengenezaji wake anayeweza kuthubutu kudhamini usalama wa chanjo? Kachanje mumeo!!
 
Na corona ikikupata usitusumbue wala usisumbua ndugu zako. Ujinga mzigo kweli, mtu unaishi na chanjo kama tano mwilini tena za haohao wazungu halafu unajifanya mjanja pori kupinga chanjo ya Covid- 19, Pathetic!
Madalali wa mabeberu mnalo!! Mtazitapika pesa mlizokula!! Pesa ya beberu haitoki bure!! Zitawatokea puani!! Vinginevyo drones zinawahusu!
 
Yeye alisema kilichomkuta binamu yake. Wewe mbona kiazi hivyo. Unaeleweshwa unakuwa mbishi
Wewe ndiyo kiazi kuamini wanaojivimbisha matako kwa masindano badala ya kuamini waliosomea hayo mambo ya chanjo!!
 


Hiyo ni sheria kutoka mbinguni???
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Labda kwa chanjo zingine.. ila kwa C19 kubembelezana ni kawaida, na wahenga walisema '...kawaida ni kama sheria'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…