Aliyeshiba, hamjui mwenye njaa.Ila wadada wa kazi za nyumbani mnawaoneaga sana asee.
Unakuta mtu yuko ofisini,kukiwa na kazi ambayo posho ni 50k kwa siku analalamika ni ndogo ila anaona inatosha kabisa kumlipa mtu mwingine kwa mwezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimsingi ndio maana tunaitwa nchi maskini...hapo ni mshahara wa mtumishi wa serikali aliyekazini miaka 10 na hajakopa kabisaa katika utumishi wake....Patia picha hapo mtu atajengaje bila kuwa Mwizi?
Kwa mshahara anaopta alitakiwa ibaki zaidi ya 30%.Kuna watu wanaumia kny budget za watu😂😂
Mtu yeyote mwenye akili timamu hupanga budget at a maximum. Inawezekana kwa mwezi asitumie hiyo 450K as kuna vitu vinaweza tumika hata miezi miwili. Nauli kuna siku anaweza kupata lift au hajaenda kazini.
Kwa haraka haraka kubaki na 200k kwa mwezi sio mbaya. Kuna watu wengi sana wanabaki na -200K kwa mwezi hapa na wapo kukucheka na kukudhihaki mtoa mada. Wengine mpaka wanawakopa wadada wao wa kazi au hawawalipi mshahara kwa vile budget imekaba
Atafanyaje ujasiliamali huku hana kipato cha kuanza huo ujasiliamali .Nakubaliana na wewe Mkuu
Kwa hizo gharama za maisha, vyema ajikite kufanya ujasiriamali kidogo ili kujiongezea kipato
Kipato chake hakitoshi, kulingana na idadi ya wategemezi alionao
150k kwa wanaojitegemea yaan anakuja asubuh anaondoka jioni…ila kwa anaekaa hapo hapo 50k ni reasonable kabisaWalau waanzie 150k
Upo sawa sawa kiakili kweli wewe??Inatusaidia nini sasa?
Aahh ahh nipm nikufundishe namna ya kupunguza bill ya maji hadi elfu 10 kwa mweziHongera ila hapo kwenye maji 15k mnatumia toilet paper au majani ya miti? Maana huku bili inasoma mpaka 25k-30k mwendo wa kuflash kimba tu
Nakucheck ila sio ya kutumia mbinu ya wizi maana washenzi ukiichezea mita tu wanashtuka na lazima waje kuifyatuaAahh ahh nipm nikufundishe namna ya kupunguza bill ya maji hadi elfu 10 kwa mwezi
PointMKE hana kipato?
Kama hana, benki 3 wa Nini.
Ada sio mbaya ila msosi ni kweli wanabajeti kubwa sana.Hapo kinachokuumiza zaid ni ada za watoto...... Pia kwenye chakula hapo hauna dicpline sana 450,000 ni pesa nying sana kwa kula tu ndani ya mwezi mmoja......... Jaribu kununua vitu vya jumla kam unga kg25, mchele kg20, mafta ya kula lt5, maharage kilo10, dagaa kg3, sukar kg5, ukipiga hesabu hapo haifik hata 200,000
Apo motherhouse anampiga pesa ya kikoba....Unge breakdown hiyo 15 inaenda vipi kwenye msosi kutoka asubuhi hadi usiku.
-Breakfast
-Lunch
-Dinner