Matumizi yangu ya mwezi

Matumizi yangu ya mwezi

Ila wadada wa kazi za nyumbani mnawaoneaga sana asee.
Unakuta mtu yuko ofisini,kukiwa na kazi ambayo posho ni 50k kwa siku analalamika ni ndogo ila anaona inatosha kabisa kumlipa mtu mwingine kwa mwezi.
Aliyeshiba, hamjui mwenye njaa.
 
Kimsingi ndio maana tunaitwa nchi maskini...hapo ni mshahara wa mtumishi wa serikali aliyekazini miaka 10 na hajakopa kabisaa katika utumishi wake....Patia picha hapo mtu atajengaje bila kuwa Mwizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu wanaumia kny budget za watu😂😂
Mtu yeyote mwenye akili timamu hupanga budget at a maximum. Inawezekana kwa mwezi asitumie hiyo 450K as kuna vitu vinaweza tumika hata miezi miwili. Nauli kuna siku anaweza kupata lift au hajaenda kazini.

Kwa haraka haraka kubaki na 200k kwa mwezi sio mbaya. Kuna watu wengi sana wanabaki na -200K kwa mwezi hapa na wapo kukucheka na kukudhihaki mtoa mada. Wengine mpaka wanawakopa wadada wao wa kazi au hawawalipi mshahara kwa vile budget imekaba
Kwa mshahara anaopta alitakiwa ibaki zaidi ya 30%.
 
Nakubaliana na wewe Mkuu

Kwa hizo gharama za maisha, vyema ajikite kufanya ujasiriamali kidogo ili kujiongezea kipato

Kipato chake hakitoshi, kulingana na idadi ya wategemezi alionao
Atafanyaje ujasiliamali huku hana kipato cha kuanza huo ujasiliamali .
 
We takataka masikini tuu......ulimbukeni umekujaa, hvi kwa nn masikini limbukeni huwa mnawaita wadada wasaidizi wa kazi nyumbani beki tatu.....
 
Hapo kinachokuumiza zaid ni ada za watoto...... Pia kwenye chakula hapo hauna dicpline sana 450,000 ni pesa nying sana kwa kula tu ndani ya mwezi mmoja......... Jaribu kununua vitu vya jumla kam unga kg25, mchele kg20, mafta ya kula lt5, maharage kilo10, dagaa kg3, sukar kg5, ukipiga hesabu hapo haifik hata 200,000
Ada sio mbaya ila msosi ni kweli wanabajeti kubwa sana.
 
Jaribu kutafuta source of income nje ya mshahara,alafu mkeo hakusaidii kwani baadhi ya majukumu
 
Aisee kuna gharama nimeziona hapo hadi nimeshangaa...
Elfu 15 anapewa mke kila siku,inaonesha ni mama wa nyumbani na bado unaishi na binti wa kazi....
Itoshe kusema wewe ni mtu wa kipato cha kati lakini unaishi Maisha ya kitajiri kabla hujawa tajiri....
Huna investment Nyingine yoyote maana mapato yako yanatokana na Ajira...
Anza kujiongeza kutafuta chanzo kingine cha mapato hasa biashara..
Watoto wako hawatarithi hiyo ajira yako bro....
Mke awe msaada kwako,tafuta pesa fungua biashara asimamie mke wako,mke asiwe mzigo....

Hapo umetuficha lazima unadaiwa madeni wewe!
 
Back
Top Bottom