Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Kwa ilivyo Congo, tungekuwa na Viongozi wenye akili ni fursa kwetu Tanzania kuwa Taifa tajiri na imara kiuchumi.Che Guevara alikwenda Congo kusaidia mapinduzi ya kizalendo! Akakuta wanajeshi wanakula pombe na Waawake daily!
Congo ni chi ya Bata tu, Sio kazi kazi! Watatawaliwa milele!
Diaspora wetu hawa wa mama anaupiga mwingi? Au wapi hawa?Congo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyofanikiwa kutengeneza picha chanya Kimataifa kuhusu nchi yake.
Kagame alifanya hayo kwa makusudi huku akiendelea kunufaika na kutotulia kwa Congo Mashariki.
Kazi kubwa iliyofanywa na Mawaziri Wawili wa Congo ambao ni wana Diaspora, Judith Suminwa Tuluka (Waziri Mkuu wa Congo) na Therese Kayikwamba Wagner ( Waziri wa Mambo ya Nje) imefanikiwa kumu outsmart Kagame na kumfanya awe uchi kwenye jumuiya ya Kimataifa hadi kufikia kuwekewa vikwazo na Mataifa ya Marekani, Canada, Uingereza, Ubelgiji na Ujerumani.
Mawaziri hawa kwa nyakati tofauti waliweza kutumia uzoefu wao kimataifa kuushawishi ulimwengu kuamini kuwa shida ya Congo Mashariki ni Kagame na sio siasa za ndani za Congo DRC.
Kwenye hili, Tanzania tuna la kujifunza sana hasa namna ya kuwatumia Diaspora ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa branded kuwa sio Wazalendo.
Kwenye hili tumejifunza kuwa Diaspora wanaweza kuwa Wazalendo kwa kulipigania Taifa kuliko watu waliopo ndani. Mfano Congo Jeshi linakimbia na kuwaachia Rwanda /M23 maeneo wakati hawa mawaziri Diaspora wanapambana Rwanda awekewe vikwazo na wanafanikiwa.
Tanzania tujifunze namna ya kuwatumia Diaspora kwa Congo DRC.
Picha:
Waziri Mkuu wa Congo DRC Bi Judith Suminwa Tuluka na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DRC Therese Kayikwamba Wagner!
View attachment 3264273View attachment 3264274
Hahahaha unamaanisha yule Ansbert Ngurumo?Diaspora wetu hawa wa mama anaupiga mwingi? Au wapi hawa?
Angekuwa Tanzania angefukuzwa kazi kwani angeonekana ana akili kuliko Samia!! Remember alivyomfukuza Mulamula Kutoka wizara ya mambo ya nje because of inferiority complex!Brainwash ya CCM imeharibu sana wanawake wa Tanzania, ni wachache sana wanaojitambua
Kwa anavyoangaliwa saivi akijaribu tu kufanya hayo ajue next ni yeye na familia yake.Kagame atapita nao - ama sumu, risasi au kudondoka kutoka ghorofani - po pote walipo duniani!
Kweli kabisa.Angekuwa Tanzania angefukuzwa kazi kwani angeonekana ana akili kuliko Samia!! Remember alivyomfukuza Mulamula Kutoka wizara ya mambo ya nje because of inferiority complex!
Tena kwa kazi ya wanawake wawili Diaspora.Hatimaye Kagame kaisha
Utusi unakusumbua!Timueni vumbi zaidi muone na yeye ataleta nini uzuri jamaa sio wapiga makelele ila kuwa suprise watu wanajua.....upande ule ni makelele tu kama walivyozoea huyo ni mzee wa kimyakimya ....kwani kuna aliefikiria kua M23 itakuja kua na nguvu kiasi hiki, watu walipiga kazi kimyakimya akawaacha wapiga kelele wajifariji.......mchezo kwa sasa sio rahisi maana players wa sasa sio wa magharibi tu bado kuna kete za mashariki mchina na mrusi......na marekani kavamia maslahi ya mchina kwa Tshisekedi...........na wamagharibi wameshazoea vita za mijini na jagwani.....vita za msituni sio za lelemama kule Vietnam tu walielewa mziki na walikua wanapigana na kataifa kiuchumi kapokapo tu.....jamaa ameshawavuta raia wa mashariki ya kongo upande wake, kupambana na mtu ambae tayari ana sapot ya wananchi sio rahisi tena mazingira yenyewe msituni,, nyie pigeni makelele na mjipeleke tu huko ila kila mtu ana suprise package yake na wamefanya walilofanya kwa sababu wanajiamini
Kagame alijisahau mno!Tena kwa kazi ya wanawake wawili Diaspora.
Wakati huku tunawaminya Diaspora eti kuwapa hadhi maalum tu. Sijui tunashindwa nini kuwatambua rasmi fully kama raia na hata kutambua uraia pacha.
Viongozi watapita lakini DRC ItabakiI don't accept Tshekedi, bora zaidi aondoshwe, Akili zake anazijua mwenyewe kiuchumi. (Unforecasted)
Unaota ndoto. Kale ugali ushibe uote ndoto zaidi.Timueni vumbi zaidi muone na yeye ataleta nini uzuri jamaa sio wapiga makelele ila kuwa suprise watu wanajua.....upande ule ni makelele tu kama walivyozoea huyo ni mzee wa kimyakimya ....kwani kuna aliefikiria kua M23 itakuja kua na nguvu kiasi hiki, watu walipiga kazi kimyakimya akawaacha wapiga kelele wajifariji.......mchezo kwa sasa sio rahisi maana players wa sasa sio wa magharibi tu bado kuna kete za mashariki mchina na mrusi......na marekani kavamia maslahi ya mchina kwa Tshisekedi...........na wamagharibi wameshazoea vita za mijini na jagwani.....vita za msituni sio za lelemama kule Vietnam tu walielewa mziki na walikua wanapigana na kataifa kiuchumi kapokapo tu.....jamaa ameshawavuta raia wa mashariki ya kongo upande wake, kupambana na mtu ambae tayari ana sapot ya wananchi sio rahisi tena mazingira yenyewe msituni,, nyie pigeni makelele na mjipeleke tu huko ila kila mtu ana suprise package yake na wamefanya walilofanya kwa sababu wanajiamini
Hivi lini umegeuka 180 degrees? Wewe ulikua supporter sana wa huu utawala wa CCM hasa kwenye DPWorld, vipi tena? Au siyo ID yako nimechanganya? Maana hii point inabidi uwe na IQ kubwa ndiyo uandike, Bi ushungi au JK thubutu.Kwa ilivyo Congo, tungekuwa na Viongozi wenye akili ni fursa kwetu Tanzania kuwa Taifa tajiri na imara kiuchumi.
Shida Katiba mbovu inatupa Viongozi wa ajabu wasio na akili wala maono.
Hadi Congo anataka kutoa madini kwa Marekani, Taifa lililopo a thousand miles kutoka kwake wakati sisi tuko jirani tu hapa na Wanajeshi wetu saivi wanajenga fremu za Baa kwenye makambi yao.
Diaspora wa Tanzania ni kina Mange Kimambi, Maria Sarungi, unawaonaje ni namna gani wataisaidia nchi yetuCongo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyofanikiwa kutengeneza picha chanya Kimataifa kuhusu nchi yake.
Kagame alifanya hayo kwa makusudi huku akiendelea kunufaika na kutotulia kwa Congo Mashariki.
Kazi kubwa iliyofanywa na Mawaziri Wawili wa Congo ambao ni wana Diaspora, Judith Suminwa Tuluka (Waziri Mkuu wa Congo) na Therese Kayikwamba Wagner ( Waziri wa Mambo ya Nje) imefanikiwa kumu outsmart Kagame na kumfanya awe uchi kwenye jumuiya ya Kimataifa hadi kufikia kuwekewa vikwazo na Mataifa ya Marekani, Canada, Uingereza, Ubelgiji na Ujerumani.
Mawaziri hawa kwa nyakati tofauti waliweza kutumia uzoefu wao kimataifa kuushawishi ulimwengu kuamini kuwa shida ya Congo Mashariki ni Kagame na sio siasa za ndani za Congo DRC.
Kwenye hili, Tanzania tuna la kujifunza sana hasa namna ya kuwatumia Diaspora ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa branded kuwa sio Wazalendo.
Kwenye hili tumejifunza kuwa Diaspora wanaweza kuwa Wazalendo kwa kulipigania Taifa kuliko watu waliopo ndani. Mfano Congo Jeshi linakimbia na kuwaachia Rwanda /M23 maeneo wakati hawa mawaziri Diaspora wanapambana Rwanda awekewe vikwazo na wanafanikiwa.
Tanzania tujifunze namna ya kuwatumia Diaspora kwa Congo DRC.
Picha:
Waziri Mkuu wa Congo DRC Bi Judith Suminwa Tuluka na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DRC Therese Kayikwamba Wagner!
View attachment 3264273View attachment 3264274
Vp Mage Kimambi na Maria Sarungi?Brainwash ya CCM imeharibu sana wanawake wa Tanzania, ni wachache sana wanaojitambua
We ni banyamulengeTimueni vumbi zaidi muone na yeye ataleta nini uzuri jamaa sio wapiga makelele ila kuwa suprise watu wanajua.....upande ule ni makelele tu kama walivyozoea huyo ni mzee wa kimyakimya ....kwani kuna aliefikiria kua M23 itakuja kua na nguvu kiasi hiki, watu walipiga kazi kimyakimya akawaacha wapiga kelele wajifariji.......mchezo kwa sasa sio rahisi maana players wa sasa sio wa magharibi tu bado kuna kete za mashariki mchina na mrusi......na marekani kavamia maslahi ya mchina kwa Tshisekedi...........na wamagharibi wameshazoea vita za mijini na jagwani.....vita za msituni sio za lelemama kule Vietnam tu walielewa mziki na walikua wanapigana na kataifa kiuchumi kapokapo tu.....jamaa ameshawavuta raia wa mashariki ya kongo upande wake, kupambana na mtu ambae tayari ana sapot ya wananchi sio rahisi tena mazingira yenyewe msituni,, nyie pigeni makelele na mjipeleke tu huko ila kila mtu ana suprise package yake na wamefanya walilofanya kwa sababu wanajiamini
Hawa ndiyo tunawataka. Critical Thinkers.Vp Mage Kimambi na Maria Sarungi?