Matunda ya Helicopter ya Nape Nnauye

Matunda ya Helicopter ya Nape Nnauye

Unashangaa nini waandikaji form four vyeti vya kufoji na wapokea vibao na kusimika form four vyeti vya kufoji ulitarajia nini?

Hayo ndio matokeo ya kubebana kupeana kazi kwa kujuana bila kuhakiki vyeti watu wanapeana kazi misikitini na vyumbani hivyo vibao waandikaji waislamu na wapokeaji na wasimikaji waislamu wakataa elimu dunia kuwa sio muhimu ila kazi wanataka wanasema waislamu wanaonewa na mfumo Kristo hawapewi tenda hata za kuandika vibao vya mitaa na kusimika!!

Ngoja waje.
 
😃😆😅🤣
Bongo hatari sana aise. Matumizi ya L na R katika mitamko na uandishi ni JANGA LA TAIFA.
Tenda mtu ukipewa unapewa hadi kuandika nini? Hapo Tatizo liko.kuanzia kwenye tenda hadi kuandika , kupokea kibao kudhibitisha,kusimika hadi kulipa!!! Sio tu Tatizo la R na L!!!
 
Watu mnang'aka hivi hiyo picha imepigwa hadi chini..? Mbona mi naona bado ipo nusu! Hiyo ni Sawa na mtu alalie mto halafu ajipige picha nakusema amelala ilihali kasimama tu!.

Leteni picha inayoonyesha bango zima kuanzia chini.
 
Sio hao waliondika ,kupokea hivyo.vibao na kusimika ni wasomi waliosoma madrasa za kiislamu tena hapo wamejitahidi misikitini wanasifiwa kuwa ndio wasomi
Ngoja waje wale wa siasa kali,
Yatakayokupata usije ukaomba poo😄
 
hili zoezi halikupewa pesa ya kutosha pamoja na muda.... kinachoendelea sasa hivi ni upuuzi tu huko halmashauri.... kwa kifupi kama una 150k mtaa unaweza kupewa jina lako kwa kulipia tuhicho kiasi....

kwa ufupi kazi imelipuliwa tu labda kama watakuja kufanya maboresho baadae taratibu na kwa ufanisi zaidi
Labda uniambie muda,ila sio pesa!
 
Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?

View attachment 2200130
Sema mama yako sio mama yetu na sio kipenzi chetu jisemee nafsi yako
 
Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?

View attachment 2200130
kitu hiki ndiyo anuani za makazi? Mi nikajuwa kumtambuwa mtu mtaa anaoishi na nyumba yake.Sasa kama ni hivyo tu sisi wananchi tunatumiwa sms tushiriki nini?Na hi ndiyo imemfanya waziri NAPE kupaa na chopa?Msaada.
 
Labda huyo Load ni babake Nape, nasikia amekulia fatherless kama Zito, ndo maana no respect, no maadili hata utu tu hawana!
 
Unashangaa nini waandikaji form four vyeti vya kufoji na wapokea vibao na kusimika form four vyeti vya kufoji ulitarajia nini?

Hayo ndio matokeo ya kubebana kupeana kazi kwa kujuana bila kuhakiki vyeti watu wanapeana kazi misikitini na vyumbani hivyo vibao waandikaji waislamu na wapokeaji na wasimikaji waislamu wakataa elimu dunia kuwa sio muhimu ila kazi wanataka wanasema waislamu wanaonewa na mfumo Kristo hawapewi tenda hata za kuandika vibao vya mitaa na kusimika!!
Sasa hapo mambo ya dini yameingiaje?
 
Back
Top Bottom