Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Africa kila kitu ni drama
Unakumbuka Uganda walipewa pesa za Corona kutoka ulaya wabunge wakagawana
Tanzania Luna mtu alipusuliwa kichwa badala ya mguu
Cameroon magar yote 42 yaliwabeba wanamichezo AFCON-2022 yamepotea hayajulikani yalipo
Nigeria Waliiba VAR
Unajua ni kwa nn nchi nyingi za Africa population kubwa iliyopo ni watoto na wazee?
Unakumbuka Uganda walipewa pesa za Corona kutoka ulaya wabunge wakagawana
Tanzania Luna mtu alipusuliwa kichwa badala ya mguu
Cameroon magar yote 42 yaliwabeba wanamichezo AFCON-2022 yamepotea hayajulikani yalipo
Nigeria Waliiba VAR
Unajua ni kwa nn nchi nyingi za Africa population kubwa iliyopo ni watoto na wazee?