Matunda ya mti wa Amarula, tuliyala sana kule kanda ya ziwa, Watu wangu wana angamia sana kwa kukosa maarifa.

Matunda ya mti wa Amarula, tuliyala sana kule kanda ya ziwa, Watu wangu wana angamia sana kwa kukosa maarifa.

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
images - 2025-01-26T081108.589.jpeg


Matunda ya Amarula tumeyala sana utotoni, ni matunda ndani yako kama ilivyo embe sema yana uchachu kwa mbali sana na pia yanalewesha ukila mengi hivyo yulikuwa tunakula kiasi tu. Ukiachana na tunda ila pia kwa ndani kulikuwa na karanga, zile. ndoi haswaa tulikuwa tunapenda ila ni kupasua kwa mawe kama ilivo Macadamia nuts.

Sukumbuki kama mbuzi walikuwa wanakula zile nuts, sina kumbukumbu ni kitambo sana.
EssentiallyNaturalMarulaOil-ColdPressedGroup.jpg


Amarural nuts ni the same kama Macadamia nuts ilivyo na ukila Amarural nuts then uje ule macadamai nuts utagundua ni the same thing.Tulipendelea sana nuts kuliko kula tunda la nje ambalo tulikuwa tunahofia kulewa.
images - 2025-01-26T081003.017.jpeg


Kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara hasa Serengeti hii Amarural ni mingi mno na haina kazi sana sana watu wanaikata tu ila hawajui kama wanakata pesa.
images - 2025-01-26T075101.452.jpeg


Ukiachana na Amarula kuzalisha ile pombe maarufu, ila pia kwa South Africa ambako kuna miti mingi sana pia wanazalisha Jam ya amarula na zinauzwa kabisa madukani.
images - 2025-01-26T075032.511.jpeg


Ukiachana sasa na tunda la nje, kumbe kule kule south Raia wana toa zile nuts na wanazikaanga na kupack na kuuza madukani. Zile nuts binafisi sikujua kama zinakaangwa make tulikuwa tunakula mbichi, ila kumbe zinakaangwa kabisa kama korosho au Macadamia nuts.

Tunaangamia sana kwa kukosa maarifa, Mungu aliweka password kwenye vitu vingi sana ili sisi kupitia elimu sasa tu unlock password zile.
images - 2025-01-26T075358.765.jpeg


Wiki jana nilionja nuts za amarula kutoka kwa mtu alie kuja nazo kiadogo kutoka South Africa ndio hapo nikakumbuka mbali sana na kujilaumu sana pia.

Ile jamii yetu ukienda ukawaambia haya matunda yanayo dondoka yenyewe na kuoza ni pesa hawatakuelewa kabisa, ukiwaambia zile karanga za ndani ni pesa wanaweza kukupiga mawe, sababu ndio kama hio.

Eneway hatujachelewa sana wadau.
 
Mkuu nimegoogle nimeona na kuyajua jina nishalisahau asee yalikuwa yanazaliana sana daaah nimeumia kweli namna tulivyo yashambulia kukata miti yake!!
 
View attachment 3214350

Matunda ya Amarula tumeyala sana utotoni, ni matunda ndani yako kama ilivyo embe sema yana uchachu kwa mbali sana na pia yanalewesha ukila mengi hivyo yulikuwa tunakula kiasi tu. Ukiachana na tunda ila pia kwa ndani kulikuwa na karanga, zile. ndoi haswaa tulikuwa tunapenda ila ni kupasua kwa mawe kama ilivo Macadamia nuts.

Sukumbuki kama mbuzi walikuwa wanakula zile nuts, sina kumbukumbu ni kitambo sana.
View attachment 3214351

Amarural nuts ni the same kama Macadamia nuts ilivyo na ukila Amarural nuts then uje ule macadamai nuts utagundua ni the same thing.Tulipendelea sana nuts kuliko kula tunda la nje ambalo tulikuwa tunahofia kulewa.
View attachment 3214352

Kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara hasa Serengeti hii Amarural ni mingi mno na haina kazi sana sana watu wanaikata tu ila hawajui kama wanakata pesa.
View attachment 3214353

Ukiachana na Amarula kuzalisha ile pombe maarufu, ila pia kwa South Africa ambako kuna miti mingi sana pia wanazalisha Jam ya amarula na zinauzwa kabisa madukani.
View attachment 3214354

Ukiachana sasa na tunda la nje, kumbe kule kule south Raia wana toa zile nuts na wanazikaanga na kupack na kuuza madukani. Zile nuts binafisi sikujua kama zinakaangwa make tulikuwa tunakula mbichi, ila kumbe zinakaangwa kabisa kama korosho au Macadamia nuts.

Tunaangamia sana kwa kukosa maarifa, Mungu aliweka password kwenye vitu vingi sana ili sisi kupitia elimu sasa tu unlock password zile.
View attachment 3214355

Wiki jana nilionja nuts za amarula kutoka kwa mtu alie kuja nazo kiadogo kutoka South Africa ndio hapo nikakumbuka mbali sana na kujilaumu sana pia.

Ile jamii yetu ukienda ukawaambia haya matunda yanayo dondoka yenyewe na kuoza ni pesa hawatakuelewa kabisa, ukiwaambia zile karanga za ndani ni pesa wanaweza kukupiga mawe, sababu ndio kama hio.

Eneway hatujachelewa sana wadau.
Kwahiyo wewe ni tajiri sana na una maarifa mno
 
Mng'ong'o (pia mng'ongo, mungango au mmorula; jina la kisayansi: Sclerocarya birrea) ni mti mkubwa wa savana. Matunda yake huitwa mang'ong'o au morula.

Mti huu haukuzwi kwa kawaida wala haukatwi ila huachwa porini kwa ajili ya matunda yake. Nyama ya matunda huliwa na kokwa mbichi zake pia. Matunda yanaweza kuchachuliwa ili kutengeneza pombe na hiyo inaweza kukenekwa ili kupata pombe kali (k.m. Amarula).

Juisi iliyochemshwa hutumika ili kukoleza uji uwe mtamu. Kokwa hupondwa ili kutengeneza keki na biskuti au kuweka supu rojorojo. Kokwa zinatoa mafuta pia yanayotumika kwa kupika na kupakia ngozi.

Marula_Fruit.jpg
 
Hii miti ipo pia Kilimanjaro ukanda wa chini ni moja ya miti poli, ni kweli ukanda wa Serengeti ipo kwa wingi, huko Moshi kuna taasisi inashughulikia kuizalisha kupata miche kwenye kitalu chao.
Mbegu yake yake Inakaa ardhini kati ya miezi 9 Hadi 11 ndiyo inachipua (dormancy). .Lakini ukipata ambazo mbuzi wamekula dormancy yake inashuka hadi miezi 3 inachipua.
Hata hivyo jamaa yangu mmoja pia amenieleza kule Bagamoyo wanafanya majaribio ya kuupanda kwa kutumia vichipkizi lakini bado mafanikio ni madogo.
Mchakato wa Moshi umeoneaha mafanikio kwa kutumia mzizi uliyokuwa exposed, huenda hivi Karibuni miche yake ikaanza kusambazwa.
 
Embe ng'ongo pori.Ndani ya morogoro kitambo hicho,kutoka mitaa ya Rdd mpaka Bahati camp ming'ongo kibao.Sema inatepetesha miguu ukila kwa wingi.
 
Hii miti ipo pia Kilimanjaro ukanda wa chini ni moja ya miti poli, ni kweli ukanda wa Serengeti ipo kwa wingi, huko Moshi kuna taasisi inashughulikia kuizalisha kupata miche kwenye kitalu chao.
Mbegu yake yake Inakaa ardhini kati ya miezi 9 Hadi 11 ndiyo inachipua (dormancy). .Lakini ukipata ambazo mbuzi wamekula dormancy yake inashuka hadi miezi 3 inachipua.
Hata hivyo jamaa yangu mmoja pia amenieleza kule Bagamoyo wanafanya majaribio ya kuupanda kwa kutumia vichipkizi lakini bado mafanikio ni madogo.
Mchakato wa Moshi umeoneaha mafanikio kwa kutumia mzizi uliyokuwa exposed, huenda hivi Karibuni miche yake ikaanza kusambazwa.
Wanajua umuhimu wake?
 
Back
Top Bottom