Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio jibu sahihiOtherwise Kuna uwezekano mkubwa kwamba mungu aliingilia Kati na kumnusuru kiumbe wake katika bonde LA kiza cha umauti.
Naamini hii.Otherwise Kuna uwezekano mkubwa kwamba mungu aliingilia Kati na kumnusuru kiumbe wake katika bonde LA kiza cha umauti.
Mungu uwe upande wake baba
Hiyo ni nyingine, jamaa aligongwa na lory akiwa na mkebe wake, akatupwa mtaloni...umeisahau hiyo???Ile kupewa ngozi ya mamba?
Smg inaweza kupiga tundu moja risasi hata 30 ukiwa umbali kuanzia 50m kwa mtu ambaye ana mafunzo mazuri..smg siyo rahisi kupiga risasi zikaelekea eneo moja.
..pia uharaka wa waliofanya shambulizi hilo.
..vilevile mtumia bunduki alivyokuwa amekaa. Inasemekana alikuwa ndani ya gari.
.
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
2pac Shakur aliposhambuliwa kwa risasi nyingi na kuuwawa Suge Knight ndio alikuwa anaendesha ile BMW mbona hakuna risasi iliyompata? Unafikiri kwa kutumia kijambio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe ndo uliwaagiza??? inaonekana una information za ndani.NI IGIZO HILO HAKUNA ALIYETAKA KUMUUA..
Smg inaweza kupiga tundu moja risasi hata 30 ukiwa umbali kuanzia 50m kwa mtu ambaye ana mafunzo mazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamajibu utafikiri ni mashindano ya maswali na majibu.Wale waliomtolea Nape Bastola hadharani walikuwa na mafunzo mwezi????!!!
Sent using Jamii Forums mobile app