Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,514
- 4,998
Nimependa ulivyopangilia hoja...... Unfortunately siyo serikali hii inayoweza kutoa majibu kwa hoja hizi.... It's crystal clear that pamoja na Lissu mwenyewe kulalamika muda mrefu kuhusu usalama wa maisha yake.... Bado serikali haikulitilia maanani suala hili!!
Well, yaweza kuwa conspiracy against the governement, but i'm sorry to say, ni ngumu sana serikali hii kukwepa lawama!!!
Well, yaweza kuwa conspiracy against the governement, but i'm sorry to say, ni ngumu sana serikali hii kukwepa lawama!!!