Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Hata mitaani keiele zimeisha ni mtindo wa kimya kimya wengine wanajifanya kufuatilia mipira ya nje na kukejeli ya nyumbani kwake.
Jf Inawezekana kuna wengine wamebadilisha Id na kuja kivingine.
Yule kolo mkuu humu kafichama wapi?
 
Ihefu 2 yanga 1
 
Ukiona timu baada ya kuifunga timu fulani ikaandaa mabango ujue hiyo timu ni changa kisoka. Ushindi unaokumbuka ni wa Simba na siyo wa timu nyingine.
Piga picha na jichukue video kwenye bango la Yanga ni burudike
Tunafurahia matusi kupungua
 
Kweli kabisa
 
Endelea kujiliwadha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…