Inategemeana na ulipo kuwepoKwamba watumiaji wa mitandao ya kijamii walikua wengi kama leo hii?
Yule kolo mkuu humu kafichama wapi?Hata mitaani keiele zimeisha ni mtindo wa kimya kimya wengine wanajifanya kufuatilia mipira ya nje na kukejeli ya nyumbani kwake.
Jf Inawezekana kuna wengine wamebadilisha Id na kuja kivingine.
Ihefu 2 yanga 15imba ndo timu iliyofungwa mechi nyingi na yanga, 5imba ndio timu iliyofungwa magoli mengi zaidi na yanga. Yanga ina makombe mengi zaidi kuliko 5imba. Au tuachane na historia, YANGA kwa sasa ipo kwenye timu tano bora africa zinazo wania tuzo ya timu bora
HahahahaKwakweli amani ni kubwa sana kuipoteza. Kipigo kikubwa kinapaswa kuwa endelevu kulinda hii amani.
Nilidhani makombe kumbe viwangoViwango vya CAF,sio vya lile shirika lenu la mchongo
5imba 1_5 YANGAIhefu 2 yanga 1
Hivyo hivyo viwango lakini tumetambulika ,sio nyie mnatambuliwa na SACCOSNilidhani makombe kumbe viwango
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Si ndiyo, mimi nimekumbusha atambue yeye ni naniHalafu na wewe ukakoment kabisa.
Hamna kitu [emoji6]Lkn matusi yamepungua. Mlituogesha mitusi ya haja sana
wakiongozwa na popoma kuu a.k.a Gentamycine, lina shobo hilo kama ile mimama ya saloon ya Mana Kimbo-BuzaDah! Ila Mashabiki wengi wa hiyo timu wana midomo michafu mpaka basi. Ni wachache pekee ndiyo waungwana.
HahahajajaaWana5imba kumbe ndio watu huwa wanashinda humu kutukana!!! Na usikute ndio hawahawa wanatuambiaga tuma kwa namba hii jina litakuja simba mwakatano
Tunafurahia matusi kupunguaUkiona timu baada ya kuifunga timu fulani ikaandaa mabango ujue hiyo timu ni changa kisoka. Ushindi unaokumbuka ni wa Simba na siyo wa timu nyingine.
Piga picha na jichukue video kwenye bango la Yanga ni burudike
Wenzetu mna mdomo sanaKilichotokea kwa Simba hata Yanga ishatokea.
Kweli kabisa5imba ndo timu iliyofungwa mechi nyingi na yanga, 5imba ndio timu iliyofungwa magoli mengi zaidi na yanga. Yanga ina makombe mengi zaidi kuliko 5imba. Au tuachane na historia, YANGA kwa sasa ipo kwenye timu tano bora africa zinazo wania tuzo ya timu bora
Mbona hamtukaniMatusi yapo palepale,yatapungua mkitufunga kuanzia goli 7 na kuendelea,hivyo kazaneni kidogo
Wakati jf umeingia juzi 2019.... Jipange kabla ya kuongea uongo [emoji2]Hali kama hii ilitokea pia mei 2012
Adabu imekuwepo mtandaoniIhefu 2 yanga 1
Unajaribu kujipa furaha iliyopoteaHakuna jipya hapo,hamjarudisha hata kile kipigo chetu cha tano bila,ule ndio ulikuwa ni wakati mwafaka ,na haitajirudia kamwe
Endelea kujiliwadhaUbadilishe Id kisa umefungwa na Yanga?
Ndoto kubwa ya timu changa kisoka ni kuifunga timu kubwa na wakishatimiza ndoto
1. Hufanya sherehe
2. Hufanya mapumziko
3. Huandaa mabango km kumbukumbuku ya ushindi wao.
Timu mpk imeandaa mabango ya ushindi, watu wanajitoa picha na kujichukua video hapo kuna timu?
Nitumie picha na video kwenye bango la Yanga linaonesha Yanga 5 - Simba 1. Niburudike