Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Simba ni mke wetu hata nauli hatutumi ndio team tumeodinya mara nyingi
 
Watu wengine tunaangalia mbele kuzungumzia mambo ya maendela lakini naona wewe unaturudisha Nov 5. Leo nni Nov20. Ukitaka habari za Nov5, kuna mbango mengi huko huko mitaani, nenda kayasome. Mjadala hapa unatakiwa kuwa ni Tanzania Vs Mrocco tu.
 
Kwani al ahly hatujawahi ifunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…