[emoji23][emoji1787][emoji28]Wana5imba kumbe ndio watu huwa wanashinda humu kutukana!!! Na usikute ndio hawahawa wanatuambiaga tuma kwa namba hii jina litakuja simba mwakatano
Walifundishwa na ManaraDah! Ila Mashabiki wengi wa hiyo timu wana midomo michafu mpaka basi. Ni wachache pekee ndiyo waungwana.
Ikawaje mkapigwa [emoji2772]na SACCOS? nisimulieHivyo hivyo viwango lakini tumetambulika ,sio nyie mnatambuliwa na SACCOS
Hapo sasaIkawaje mkapigwa [emoji2772]na SACCOS? nisimulie
Utulivu umetawalaWalifundishwa na Manara
Ametulia sanawakiongozwa na popoma kuu a.k.a Gentamycine, lina shobo hilo kama ile mimama ya saloon ya Mana Kimbo-Buza
Nini sasaHamna kitu [emoji6]
Kujiunga kwangu 2019 kinahusiana vip sasa😅akili zenu uto mnazijua wenyeweWakati jf umeingia juzi 2019.... Jipange kabla ya kuongea uongo [emoji2]
Eti eeeeehIkawaje mkapigwa [emoji2772]na SACCOS? nisimulie
Simba ni mke wetu hata nauli hatutumi ndio team tumeodinya mara nyingiNakumbuka kuna timu kombe la dunia walifunga Argentina, kwao walifanya mapumziko.
Km Yanga wameandaa mabango ya 5-1, timu changa kisoka hufanya hivyo km Yanga
Kama umeifunga Simba, Siku Yanga akiifunga Al Ahly mtafanya documentary na itakuwa mapumziko siku hiyo.
Weeeee,kweli eeeeeh?Unajaribu kujipa furaha iliyopotea
JamanKujiunga kwangu 2019 kinahusiana vip sasa[emoji28]akili zenu uto mnazijua wenyewe
SahihiSimba ni mke wetu hata nauli hatutumi ndio team tumeodinya mara nyingi
Watu wengine tunaangalia mbele kuzungumzia mambo ya maendela lakini naona wewe unaturudisha Nov 5. Leo nni Nov20. Ukitaka habari za Nov5, kuna mbango mengi huko huko mitaani, nenda kayasome. Mjadala hapa unatakiwa kuwa ni Tanzania Vs Mrocco tu.Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshiniana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana
Kwani al ahly hatujawahi ifunga1. Mpk kutengenezewa mabango ni ishara tosha ni timu kubwa.
2. 5 zinazokumbukwa ni za Simba tu.
Simba ni timu kubwa mpk meandaa mabango.
Kwani kuna timu ngapi meifunga 5?
Jipige picha na kujichukua video kwenye bango la Yanga linaonesha Yanga 5 - Simba 1.
Kama Simba meifunga na mkaitengenezea mabango, siku mkiifunga Al Ahly sijui itakuwaje siku hiyo
Halafu Yanga walikua pungufu wachezaji 2 walipewa red cardTano bila kwa yale magoli yenu matatu ya penalty?
Na timu ilikuwa katika mgogoro,..Halafu Yanga walikua pungufu wachezaji 2 walipewa red card