Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Anajua sana bwana na kibongo bongo anafanya vizuri. Sasa main chick nilikua nautafuta hata jina sijui unaitwaje na kaimba nani. Ngoja nifanye mpango niudownload kwanza
Yeah Madame, huyu binti anajua sana ila sijajua kwanini haendi, natamani nimuone akifika level za kina Tiwa Savage

Sisikii na Let them know ndio nyimbo zangu kali toka kwake
 
Nandy tangu aanze kuimba, kila ngoma ni kali.

Sasa juzi kanuangusha na nyimbo yake sijui inaitwajee.


Tatizo wanatoa nyimbo nyingi sana pasipo kutupa muda wa kuzisikiliza
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Binti wa watu anajitaidi kwa kweli, ingawa kuna time uwa anapotea, kutokana na haiba yake ya kuiga iga miondoko furaha hivi ya ki...hapo ndipo anapoalibugi. Nje ya hapo kiukweli unafanya vizuri tu....
Bip up kwake.
 
Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.

Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.

Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.


View attachment 910838
Ila wewe unajua kuimba sio?!!!
 
Maua Sama anaimba wewee hababaishii labda uwe umemfaham kwenye hiyo iokote tuu. unakumbuka Amen, Main chick, nakuelewa n.k? vinginevyo acha chuki mkuu
 
Daaah! Ile ngoma SISKII noma sana aseee!

Watanzania na roho zetu za KAZOPATA
 
Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.

Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.

Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.


View attachment 910838
Usipo mpenda wewe usitake kutupotosha wote tusmpenda tens ishia hapo hapo
 
Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.

Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.

Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.


View attachment 910838
Hivi humu jamvini na wachawi wapo? Uchawi wako ushindwe na ulegee.
 
Back
Top Bottom