Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Wacha tusubiri, kwani "muda" utasema yote na tutapata majibu.

ila kuhusu uimbaji, MAUA SAMA anaimba vizuri tu mbona (sioni tatizo ktk uimbaji wake sabb binadamu hatufanini na ni vizuri kw MAUA kuwa na mtindo wake wa uimbaji ambao ni tofauti na wadada wengine)

Pia kitu kingine, kutengeneza hit-song kunataka mengi sana na wala sio sauti tu pekee.
KUNA WAKATI WIMBO UNAKUWA NI MZURI NA UNA-TREND BALAA, PIA KUNA WAKT WIMBO NI MZURI NA HAU-TREND KIVILE...

(km ni kupangilia misauti tu na kuimba "vokali za nyau" basi watu km BARNABA au Q-CHIEF wangekuw na hit-song kila leo, maana jamaa wamebarkiwa sauti, na sio siri, jamaa wana vokali kaliii kuliko most of the current trending singers of the Bongo Flava mainstream music)

"Mega Hit-songs" huwa hazinaga formula, unaweza ukaimba kw kufata Chords na Musical Notes zoteeee duniani kimuziki km European Classical Music (Mfano mzuri wa uimbaji wa kupanglia ala za muziki na sauti kwa mtindo wa European Classical Music ni ule Wimbo wa "UEFA CHAMPIONS LEAGUE") alafu na bado wimbo wako ukabuma vile vile...

Na ukashangaa mtu anaweza akaimba "mabata madogo" na aka-hit mpaka basi.

NB: Mega hit-songs hazinaga formula, wimbo unaweza kuwa mzuri na vocal kaliii za Keys na Pitch za juu km nyau, na bado wimbo huo usiwe "mega hit-song",

Na kuna wimbo ukauona wa kawaida na ukashangaa umepenya kila kona, kiasi kwamba mpk mtaani ukapewa jina la utani na kuitwa " WIMBO WA TAIFA".

Mfano "Muziki" ya Darassa. ile haikuwa hit-song bali it was a "mega hit-song".

Songs km zile hutokea mara chache chache sanaaa ktk jamii.

Sina shaka na Uwezo wa MAUA SAMA kimuziki na kiuimbaji.. Sabb watu hatufanani sauti,

Conclusively, let MAUA SAMA be MAUA SAMA (let her do what she does best), kikubwa ni kutoa muziki mzuri na kujenga fanbase yake kwanza, One step at a time, alafu hit-songs zitakuja tu akizi-OKOTA.
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Binti wa watu anajitaidi kwa kweli, ingawa kuna time uwa anapotea, kutokana na haiba yake ya kuiga iga miondoko furaha hivi ya ki...hapo ndipo anapoalibugi. Nje ya hapo kiukweli unafanya vizuri tu....
Bip up kwake.
Alikuwa anapotea kutokana na kujiandikia nyimbo ila hilo alishaligundua anasema akianza andika anajikuta anaandika vingereza vingi so ni bora aandikiwe na akina Ibra Nation na wengine
 
Alikuwa anapotea kutokana na kujiandikia nyimbo ila hilo alishaligundua anasema akianza andika anajikuta anaandika vingereza vingi so ni bora aandikiwe na akina Ibra Nation na wengine


Kabisa mkuu, hapo umebonga kitu cha maana sana.
Siku hizi Bongo watu wamekuwa waelewa na sio lazma msanii akomae kutunga mistari yote yeye peke yake.

Maua Sama, Nandy na Ruby ni kati ya wadada ambao wameyajua hayo na hawa-force kulazimisha waandike wao kila kitu kwny mistari ya nyimbo zao.

Wao wana-focus na uimbaji tu, alafu ubunifu wa utunzi na melody ya kuimba wanashirikiana na watunzi wengine.

Waswahili tunasema , "Penye wengi, pana mengi"
 
Mbali na music, Sama, Maua ana Shahada kutoka Chuo Kikuu huko Moshi. Mtu kama huyu alie na asset adhimu ya elimu usimngojee karibu eti afe kwa msongo wa mawazo.. Haha
 
Dua la kuku halimpati mwewe, huu ni wivu tena wa kiwango cha juu sana
 
Hivi Mkapa alisema nini kuhusu wivu wa kike?
 
Mtoa mada naona unapokea kipigo cha mbwa koko
 
Wacha tusubiri, kwani "muda" utasema yote na tutapata majibu.

ila kuhusu uimbaji, MAUA SAMA anaimba vizuri tu mbona (sioni tatizo ktk uimbaji wake sabb binadamu hatufanini na ni vizuri kw MAUA kuwa na mtindo wake wa uimbaji ambao ni tofauti na wadada wengine)

Pia kitu kingine, kutengeneza hit-song kunataka mengi sana na wala sio sauti tu pekee.
KUNA WAKATI WIMBO UNAKUWA NI MZURI NA UNA-TREND BALAA, PIA KUNA WAKT WIMBO NI MZURI NA HAU-TREND KIVILE...

(km ni kupangilia misauti tu na kuimba "vokali za nyau" basi watu km BARNABA au Q-CHIEF wangekuw na hit-song kila leo, maana jamaa wamebarkiwa sauti, na sio siri, jamaa wana vokali kaliii kuliko most of the current trending singers of the Bongo Flava mainstream music)

"Mega Hit-songs" huwa hazinaga formula, unaweza ukaimba kw kufata Chords na Musical Notes zoteeee duniani kimuziki km European Classical Music (Mfano mzuri wa uimbaji wa kupanglia ala za muziki na sauti kwa mtindo wa European Classical Music ni ule Wimbo wa "UEFA CHAMPIONS LEAGUE") alafu na bado wimbo wako ukabuma vile vile...

Na ukashangaa mtu anaweza akaimba "mabata madogo" na aka-hit mpaka basi.

NB: Mega hit-songs hazinaga formula, wimbo unaweza kuwa mzuri na vocal kaliii za Keys na Pitch za juu km nyau, na bado wimbo huo usiwe "mega hit-song",

Na kuna wimbo ukauona wa kawaida na ukashangaa umepenya kila kona, kiasi kwamba mpk mtaani ukapewa jina la utani na kuitwa " WIMBO WA TAIFA".

Mfano "Muziki" ya Darassa. ile haikuwa hit-song bali it was a "mega hit-song".

Songs km zile hutokea mara chache chache sanaaa ktk jamii.

Sina shaka na Uwezo wa MAUA SAMA kimuziki na kiuimbaji.. Sabb watu hatufanani sauti,

Conclusively, let MAUA SAMA be MAUA SAMA (let her do what she does best), kikubwa ni kutoa muziki mzuri na kujenga fanbase yake kwanza, One step at a time, alafu hit-songs zitakuja tu akizi-OKOTA.
Dah inaweza chukua zaidi ya miaka mitano kupata megahit kama MUZIKI wa Darasa, kidogo KWANGWARU imejitahidi kuukaribia
 
Mleta Uzi ndo wewe uliyeleta ule Uzi Wa Samatta au ni watu tofauti,naona mnafanana kila kitu
 
Hata ungemjua tangu tumboni mwa mama yake, lakini andishi lako linaonesha unasukumwa na wivu, tena wivu wa kijinsia.!
Mkuu unamaana jamaa anatamani angekuwa na jinsia ya maua sama 😂😂😂😂😂😂 wallah nmecheka kwa sauti
 
Wewe nawe umeona Mungu kakanyima kila kitu ila koromeo la kuimba amekapa unataka anyimwe kila kitu
Mbona dada mzuri tuu mkuu,unamtoa kasoro binadamu mwenzako namna hii!!wewe Mungu amekupa nini cha ziada?
 
Back
Top Bottom