Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Au sio ilimradi uonekane na ww ni thinkers.pole sana
 
Chuki binafs
 
Mkuu labda kama unachuki binafi... Maua sama ni LEGEND katika mziki wa bongo, maua hjaanza leo katika IOKOTE, maua ana saut ya kuimba.. Ukiwapanga Solotist Tanzania hutaacha kumuorodhesha maua sama... Nenda youtube kasikilize Akiimba bila ala yyte ya mziki kisha rudi tena tuambie
 
kama kuna mtu atabishana na wewe ajiulize je darasa aliweza kumaintain lile vibe la MUZIKI!?
 
We mbn upo kichuki chuki ?!!!...wewe ni nani mpk useme hatodumu?!!..wewe unaijua kesho ya mtu?!! ..acha useeeee bc
 
Maua sama ndo mwanamziki pekee wa kike nayependa kusikiliza nyimbo zake..mahaba niue, sisikii nk..sauti tamu saaaana...huwez kunambia kitu kwa huyu dada..anakosa managent tuu level zake za Mbele aisee
 
Maua anajua, ongeza umakini utamuelewa, huyu ni zaid ya dada ako queen darlin.
 
Huyu manzi yupo vizuri, anajua, japo tu ana Sura ya mzee Baba na hana chura, ila usimfananishe na vitu vya kijinga..Anajua
 
Mtoa mada acha roho mbaya ndugu yangu. Maua akifanikiwa wewe unaumia nini? After all anatuburudisha tena unasikiliza mziki wake maredioni bure na haulipii chochote sasa chuki ya nn? Tujifunze kuthamini wasanii wa nyumbani na kuwapa moyo
 
Ni kweli, nimesoma naye Ushirika Moshi, heri degree yake angefanya kazi zingine!
 
Watanzania kwa Wivu na Rohombaya ndio tuvijuavyo
hovyo kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…